Moderator unganisha hzi nyuzi za Afisa mtendaji mkuu wa Simba aliyejiuzuru kama sio kufuta baadhi ya nyuzi maana zimekuwa nyingi alafu dhana ni moja hyohyo..
Naomba uunganishe ili mtu akiingia hapa jukwaan kupata habari iwe rahisi kupata uzi mmoja unaoeleweka.