Senzo vipi tena? Plan za kocha Nabi hazitawezekana

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Kocha nabi anataka wachezaji wake wafanye mazoezi kwa siku mbili katika uwanja wa Mkapa.

Sasa CEO genius anafeli wapi jamani maana tarehe 7 ni Taifa stars vs Maurtania ina maana tarehe 6 kisheria lazima Maurtania wafanye mazoezi.

Tarehe 7 mechi yenyewe, tarehe kumi biashara vs wa djibout ina maana tarehe tisa wageni wafanye mazoezi

Tarehe 11 lazima rivers utd wafanye mazoezi tarehe 12 mechi ya utopolo

Je genius Senzo atahakikisha team inafanya mazoezi asubuhi kwa Mkapa?
Wahusika wa uwanja hawataona kama nyasi zinachoshwa bure kwani si kuna uwanja kwenye kambi ya kisasa kule avic town? Kule msaliti alipokuwa anaenda kufanya vikao vya kusaliti machampions.
 
Hiyo mechi kati ya Tanzania vs Mauritania ni ya kugombea nini?
 
Sasa CEO genius anafeli wapi jamani maana tarehe 7 ni Taifa stars vs Maurtania ina maana tarehe 6 kisheria lazima Maurtania wafanye mazoezi.

Bongo atacheza na Mauritania au Madagascar?
 
Senzo na kocha Nabi wote watulie,ubingwa wa Yanga msimu huu anao msukule,aliwaaminisha msimu huu atawapa ubingwa wa mara 28.mashabiki wa Yanga wakashangilia[emoji23][emoji16]
 
Mapacha wa karia koo si wakuchezea, washaharibu career za wachezaji na sasa wanaharibu Cv za watu
 
Senzo akiwa Genius je, akina Albert Einstein wao sasa waitwe nani? Senzo ni Mpuuzi tu kama wale Wapuuzi wengine waliopo Yanga SC wakiongozwa na Msukule wao Mzungu Pori HSM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…