Separation VS new relationship is it right?

Separation VS new relationship is it right?

Ndeonasiae

Senior Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
102
Reaction score
49
Ni miezi kama nane tumeseparate na my hubby, na with that time nimejithibitishia I dont want to go back kabisa. Divorce processes are on (nikimaanisha tumeanza kulizungumzia kama familia za pande mbili bado haijafika mahakamani) japo kuna mvutano mkubwa jamaa hataki kabisa kuvunja hii ndoa (ambayo mimi najua imevunjika ila bado mambo ya kisheria tu). Im in my early 30s, Tuna watoto 2 naishi nao na kuwatunza kwa kila kitu they are fine and I dont have problem with that.

Ushauri:
1.Nikiwa kama binadamu wa kawaida honestly najisikia kama kuingia kwenye mahusiano tena, naomba mnisaidie muongozo wanaJF, Is it right to get into the relationship during separation? if yes to what level, kisirisiri au hata public? je ni upi muda muafaka (eg mwaka 1 au 2 au never) hasa unaoshauriwa kwa walioachana kuwa na relationship nyingine?
 
wewe ulikuwa na lako jambo ndio maana hutaki kusuluhisha huo mgogoro wa ndoa yako. Unakuwa kama JLO bana
Ni miezi kama nane tumeseparate na my hubby, na with that time nimejithibitishia I dont want to go back kabisa. Divorce processes are on (nikimaanisha tumeanza kulizungumzia kama familia za pande mbili bado haijafika mahakamani) japo kuna mvutano mkubwa jamaa hataki kabisa kuvunja hii ndoa (ambayo mimi najua imevunjika ila bado mambo ya kisheria tu). Im in my early 30s, Tuna watoto 2 naishi nao na kuwatunza kwa kila kitu they are fine and I dont have problem with that.

Ushauri:
1.Nikiwa kama binadamu wa kawaida honestly najisikia kama kuingia kwenye mahusiano tena, naomba mnisaidie muongozo wanaJF, Is it right to get into the relationship during separation? if yes to what level, kisirisiri au hata public? je ni upi muda muafaka (eg mwaka 1 au 2 au never) hasa unaoshauriwa kwa walioachana kuwa na relationship nyingine?
 
wewe ulikuwa na lako jambo ndio maana hutaki kusuluhisha huo mgogoro wa ndoa yako. Unakuwa kama JLO bana
whatever you think you are right, kiatu nimekivaa mimi najua kinaniumiza kiasi gani. if you can be kind enough to stick into my questions. 🙂
 
Ingia kama umepata unayempenda. But ukishakuwa na uhakika nae, fanyeni public wakati huohuo nenda mahakani ku-file maomba ya divorce, kama kinga tu ili asijewabughudhi...
 
unadhani kuwa separated kuna maanisha bado uko ndani ya ndoa (in terms of commitment)?
Naamini kwa sasa sina commitment yoyote ile, mentally and physically, and that is clear to the other part, I dont have a problem with him dating
 
Naamini kwa sasa sina commitment yoyote ile, mentally and physically, and that is clear to the other part, I dont have a problem with him dating

kama unaamini huna committment, kwa nini usiendelee na unalowaza hadi uje kuuliza?

Kumbuka mambo ya mapenzi ni binafsi
 
Ingia kama umepata unayempenda. But ukishakuwa na uhakika nae, fanyeni public wakati huohuo nenda mahakani ku-file maomba ya divorce, kama kinga tu ili asijewabughudhi...
Thank you tuko, nimeipenda hii. je kuna kikwazo endapo sijafile bado? im just asking nijue
 
sidhani kama kuna ubaya......

Ila kwa nini usijipe muda kwanza?
 
kama unaamini huna committment, kwa nini usiendelee na unalowaza hadi uje kuuliza?

Kumbuka mambo ya mapenzi ni binafsi
you are right hicho ndicho ninachoamini lakini nikaona si vibaya nifanye kipima joto nione kuwa niko kawaida, pengine inaweza kuwa kosa kisheria!
 
wewe ulikuwa na lako jambo ndio maana hutaki kusuluhisha huo mgogoro wa ndoa yako. Unakuwa kama JLO bana
mambo ya ndoa ni mazito.saa nyengine divorce is the best option,ingawa ki utamaduni wetu,utasemwa tu.kuhusu mleta topic,kwa nini usijipe muda zaidi?kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya?maana mambo ya kuachana kwa upande mwengine ni mazito
 
mambo ya ndoa ni mazito.saa nyengine divorce is the best option,ingawa ki utamaduni wetu,utasemwa tu.kuhusu mleta topic,kwa nini usijipe muda zaidi?kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya?maana mambo ya kuachana kwa upande mwengine ni mazito
Etieee?? nadhani ni wazo zuri pia
 
kustick kwenye quiz yako bila kukuuliza maswali ni unafiki, hivi unaweza kusema kama Irene Uwoya kuwa hukuwahi kumpenda huyo mumeo? My advise usikilize moyo wako bana, sisi wengine wapitaji tu humu wala viatu vyako havitubani sie
whatever you think you are right, kiatu nimekivaa mimi najua kinaniumiza kiasi gani. if you can be kind enough to stick into my questions. 🙂
 
Thank you tuko, nimeipenda hii. je kuna kikwazo endapo sijafile bado? im just asking nijue

Ya kuna kikwazo... Ingawa familia zimeshakaa, but ndoa ilifungwa kisheria. Akithibitisha kuwa una uhusiano na mwanaume mwingine ana uwezo wa kumshtaki/kuwashtaki. Ingawa sio lazima kuwa atashinda kesi, but atawasumbua na kuwakosesha amani.
Uki-file maombi ya talaka ina maana kuwa ni kweli una nia ya talaka. Hata hivyo uwe makini tena hapa kwani kama mtakuwa public kabla ya kuomba hiyo talaka, then atatumia kipengele kuwa unaomba talaka kwa sababu umepata mwanaume mwingine. Katika hili, ushahidi wa vikao vya familia utakusaidia...
 
Back
Top Bottom