Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,613
Nimeamua kila nipatapo wasaa kujaribu kusaidia kuelimisha na kushirikisha mawazo wadau mbalimbali juu ya Teknolojia na Biashara, hasa Teknolojia ya Habari na Mawasialiano. So haya na maswali ya Mwezi wa tisa kwenye Ask Me Anything Technology and Business (AMATB). Mambo ya kuzingatia katika mfululizo huu ni:
1. Maswali yasiyo na lengo la kujifunza sitayajibu. Sababu ni kuwa lengo ni kushirikishana ufahamu niliopata neema ya kuwa nao na si vinginevyo
2. Maswali yasiyohusiana na biashara na teknolojia sitayajibu. Hii ni kutunza focus kwenye mada husika
3. Maswali yenye mrengo wa kisiasa sitayajibu. Kwa sababu ni nje ya lengo
4. Maswali kuhusu maisha binafsi sitayajibu. Kwa sababu hii sio Biography. Unless yawe yanahusiana na mada na yatakuwa msaada kwa wasomaji, then nitaangalia namna bora ya kujibu
5. Sipo hapa 24/7 na wala sina msaidizi wa kusoma hapa. So ukiweka swali lako uwe na uvumilivu.
Best rule: Kama usingependa uulizwe swali hilo ni vyema usiulize...!
Karibu!
1. Maswali yasiyo na lengo la kujifunza sitayajibu. Sababu ni kuwa lengo ni kushirikishana ufahamu niliopata neema ya kuwa nao na si vinginevyo
2. Maswali yasiyohusiana na biashara na teknolojia sitayajibu. Hii ni kutunza focus kwenye mada husika
3. Maswali yenye mrengo wa kisiasa sitayajibu. Kwa sababu ni nje ya lengo
4. Maswali kuhusu maisha binafsi sitayajibu. Kwa sababu hii sio Biography. Unless yawe yanahusiana na mada na yatakuwa msaada kwa wasomaji, then nitaangalia namna bora ya kujibu
5. Sipo hapa 24/7 na wala sina msaidizi wa kusoma hapa. So ukiweka swali lako uwe na uvumilivu.
Best rule: Kama usingependa uulizwe swali hilo ni vyema usiulize...!
Karibu!