CHEF
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 222
- 122
Kwa ukweli kuna sera zingine za kibiashara zinakera sana, mfano DStv unakuta wanataka malipo ya kifurushi cha mwezi wakati unakuta kwa mwezi mtu anapata muda wa kuangalia TV mara mbili au tatu.
Sasa kwanini kusiwe na kifurushi cha siku, wiki na mwezi kulingana na mtumiaji atahitaji kifurushi gani, ili iwe kama LUKU (lipia umeme kadri unavyotumia) au mitandao ya simu, na wenyewe wafanye hivyo basi.
Tulipie kadri tunavyotumia siyo nataka kuangalia kipindi fulani tu, unanilazimisha kulipa kifurushi cha mwezi mzima ndiyo niangalie hicho kipindi, inakuwa haileti mantiki kabisa.
Na wenye kusikia msikie ili wakikwama apatikane mshindani anaweza kufanya hivi tukimbilie huko, Azam wana hii sera lakini waipanue zaidi.
Sasa kwanini kusiwe na kifurushi cha siku, wiki na mwezi kulingana na mtumiaji atahitaji kifurushi gani, ili iwe kama LUKU (lipia umeme kadri unavyotumia) au mitandao ya simu, na wenyewe wafanye hivyo basi.
Tulipie kadri tunavyotumia siyo nataka kuangalia kipindi fulani tu, unanilazimisha kulipa kifurushi cha mwezi mzima ndiyo niangalie hicho kipindi, inakuwa haileti mantiki kabisa.
Na wenye kusikia msikie ili wakikwama apatikane mshindani anaweza kufanya hivi tukimbilie huko, Azam wana hii sera lakini waipanue zaidi.