Uchaguzi 2020 Sera za kuosha masufuria na kupepeta mchele ni kilio kwa wapiga kura

Uchaguzi 2020 Sera za kuosha masufuria na kupepeta mchele ni kilio kwa wapiga kura

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,107
Reaction score
9,671
Nyoote hamjambo. Nina ugua goli 7 za Liverpool.

Narejea mada husika. Kila mara nimekuwa nikisema kweli na kuweka wazi ya kuwa mimi ni shabiki wa CCM, ila sio CCM mpya hapana. Wenye CCM yao wametulia kimya.

Mgombea uraisi wa CCM mara nyingi akiwa anapiga kampeni yake ya kutaka kupewa miaka mingine mitano tena amekuwa akijikita pia kuwaombea kura Wabunge. Katika kuomba kura huko inaonekana wenye nchi hawataki kuwapa CCM Wabunge, labda kutokana na Wabunge kuwa sehemu ya kukandamiza uhitaji wa mahitaji ya wananchi.

Bunge lililopita ambalo Job akiwa na kazi ya kuwa spika wa Bunge ukweli kila mtu aliona vitimbi na vioja kama sio vibweka vya uongozi wake. Wabunge wakajitoa ufahamu na kuwa sehemu ya Serikali.

Mgombea wetu wa Urais sijui anajisikiaje kwenda kumuombea kura mtu ambaye anachembua mchele na kuosha vyombo tena akiwa na nguo za CCM. Baada ya kunadi sera unaosha vyombo.

Mbona wale wa alama za kipago cha manati hawafanyi vibweka kama hivi. Wananchi na wapiga kura mkae mkijua kuwa muda huu ndio wa kuchagua hasa maana mchambua mchele na muosha vyombo na mwingine muosha kucha za wadada watakuja kuwaumiza maana mafuria na nyungo mtabaki navyo na kucha zenu. Chagueni watetezi hata kutoka chama cha sera ya Ubwabwa.
 
Kazi ipo, wachambua mchele, waosha masufuria na wapika ubwabwa! Kwa nini wasiungane kunawa na wanasiasa babalishe tukajua moja.
 
Sera za CCM kwa sasa

1. Kuchambua mchele- Gambo

2. Kukuna nazi- Salima kikwete

3. Kuzoa taka kwenye mitaro- Gwajima

4. Kuosha vyombo na kupika ubweche msibani...yule muha kule kabingo kigoma.

5. Kupiga magoti- Magufuli

6. Kucheza usambele- Kigwangala

7.kugalagala chini- Ummy Mwalim

Hali ilipo kwa sasa ccm woote wamechanganyikiwa.
 
Nyoote hamjambo. Nina ugua goli 7 za Liverpool.

Narejea mada husika. Kila mara nimekuwa nikisema kweli na kuweka wazi ya kuwa mimi ni shabiki wa CCM, ila sio CCM mpya hapana. Wenye CCM yao wametulia kimya.

Mgombea uraisi wa CCM mara nyingi akiwa anapiga kampeni yake ya kutaka kupewa miaka mingine mitano tena amekuwa akijikita pia kuwaombea kura Wabunge. Katika kuomba kura huko inaonekana wenye nchi hawataki kuwapa CCM Wabunge, labda kutokana na Wabunge kuwa sehemu ya kukandamiza uhitaji wa mahitaji ya wananchi.

Bunge lililopita ambalo Job akiwa na kazi ya kuwa spika wa Bunge ukweli kila mtu aliona vitimbi na vioja kama sio vibweka vya uongozi wake. Wabunge wakajitoa ufahamu na kuwa sehemu ya serikali.
Mgombea wetu wa Uraisi sijui anajisikiaje kwenda kumuombea kura mtu ambaye anachembua mchele na kuosha vyombo tena akiwa na nguo za CCM. Baada ya kunadi sera unaosha vyombo.

Mbona wale wa alama za kipago cha manati hawafanyi vibweka kama hivi. Wananchi na wapiga kura mkae mkijua kuwa muda huu ndio wa kuchagua hasa maana mchambua mchele na muosha vyombo na mwingine muosha kucha za wadada watakuja kuwaumiza maana mafuria na nyungo mtabaki navyo na kucha zenu. Chagueni watetezi hata kutoka chama cha sera ya Ubwabwa.
 
Nyoote hamjambo. Nina ugua goli 7 za Liverpool.

Narejea mada husika. Kila mara nimekuwa nikisema kweli na kuweka wazi ya kuwa mimi ni shabiki wa CCM, ila sio CCM mpya hapana. Wenye CCM yao wametulia kimya.

Mgombea uraisi wa CCM mara nyingi akiwa anapiga kampeni yake ya kutaka kupewa miaka mingine mitano tena amekuwa akijikita pia kuwaombea kura Wabunge. Katika kuomba kura huko inaonekana wenye nchi hawataki kuwapa CCM Wabunge, labda kutokana na Wabunge kuwa sehemu ya kukandamiza uhitaji wa mahitaji ya wananchi.

Bunge lililopita ambalo Job akiwa na kazi ya kuwa spika wa Bunge ukweli kila mtu aliona vitimbi na vioja kama sio vibweka vya uongozi wake. Wabunge wakajitoa ufahamu na kuwa sehemu ya serikali.
Mgombea wetu wa Uraisi sijui anajisikiaje kwenda kumuombea kura mtu ambaye anachembua mchele na kuosha vyombo tena akiwa na nguo za CCM. Baada ya kunadi sera unaosha vyombo.

Mbona wale wa alama za kipago cha manati hawafanyi vibweka kama hivi. Wananchi na wapiga kura mkae mkijua kuwa muda huu ndio wa kuchagua hasa maana mchambua mchele na muosha vyombo na mwingine muosha kucha za wadada watakuja kuwaumiza maana mafuria na nyungo mtabaki navyo na kucha zenu. Chagueni watetezi hata kutoka chama cha sera ya Ubwabwa.
Ni kweli tupu wapiga magoti hawana nafasi kwenye uchaguzi huu tunataka sera.
 
Nyoote hamjambo. Nina ugua goli 7 za Liverpool
Haya mambo bwana ...acha tu!!! Jana nikaingia Youtube nikakuta channel inaonye 'live coverage', eti matokeo Aston Villa 7 Liverpool 2! Nikajua labda hizi ni channel za Games....!!!

Nikakimbilia bbc sport kuhakiki!! Aisee kumbe kweli! Nikajua sasa kumbe Liverpool ni S. Mane, hasipokuwepo...Liverpool 'mdebwedo'. Na wale wa mtaa wa niniliiuu...wakaoga 1-6! Kutocheza na mashabiki uwanjani kunasaidia kupata mpira sahihi...(joking!!!)
 
[emoji316][emoji316][emoji316]
EjGE4u7X0AM1Ez7.jpg
JamiiForums472601843.jpg
 
Sera za CCM kwa sasa

1. Kuchambua mchele- Gambo

2. Kukuna nazi- Salima kikwete

3. Kuzoa taka kwenye mitaro- Gwajima

4. Kuosha vyombo na kupika ubweche msibani...yule muha kule kabingo kigoma.

5. Kupiga magoti- Magufuli

6. Kucheza usambele- Kigwangala

7.kugalagala chini- Ummy Mwalim

Hali ilipo kwa sasa ccm woote wamechanganyikiwa.
Umemsahau mpaka rangi wa ukonga
 
Hivi hamna waliogongea bangi maskani kwa masela kweli?
 
Huwezi kuwaona makamanda wa Chadema wakifanya huu ujinga! Lakini utasikia saa mbili tu asubuhi wameshatangazwa washindi.
 
Back
Top Bottom