Kilimo kitaendelezwa na upatikanaji wa soko la uhakika.
Kwa miaka ya hivi karibuni Tanzania tulikuwa tumeanza kukamata masoko ya chakula katika nchi jirani kama Kenya na Kongo.
Tunasikia jinsi ambavyo kenya inahangaika na uhaba wa chakula, badala ya watanzania kuplani hawa ndugu zetu kuchukua masoko yao yote ya chakula ni ajabu eti tunabadairika na kuzuia kuuza chakula nje.
Haya mambo ya kununua chakula wenyewe na kutunza hayana tija. Serikali iache wakulima wetu wahudumie masoko ya jirani na yenyewe inunue ziada na kuhifadhi.
Cha msingi ni wizara ya kilimo kuhamasisha wakulima kuongeza uzalishaji, wahamasishe matumizi ya mbolea, utaalamu n.k
Kwa miaka ya hivi karibuni Tanzania tulikuwa tumeanza kukamata masoko ya chakula katika nchi jirani kama Kenya na Kongo.
Tunasikia jinsi ambavyo kenya inahangaika na uhaba wa chakula, badala ya watanzania kuplani hawa ndugu zetu kuchukua masoko yao yote ya chakula ni ajabu eti tunabadairika na kuzuia kuuza chakula nje.
Haya mambo ya kununua chakula wenyewe na kutunza hayana tija. Serikali iache wakulima wetu wahudumie masoko ya jirani na yenyewe inunue ziada na kuhifadhi.
Cha msingi ni wizara ya kilimo kuhamasisha wakulima kuongeza uzalishaji, wahamasishe matumizi ya mbolea, utaalamu n.k