mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Haha..afu JF ilifungiwa mnalia..kumbe hamna la maana.Mwakyembe kawapiga marufuku kuchanganya mpira na mziki
Ana mafua, yamembana!Kumbe siku hizi kuna SEREGETI BOYS?? au ni mimi nimekosea kusoma title
Wachukuliwe Vijana wa Uvccm LumumbaAna mafua, yamembana!
=====
Hizo staili alizozisema hata sijazielewa...!
========
Mimi nilipendekeza kikundi cha ushangiliaji cha Ashanti Utd watoto wa mjini makao yao Ilala wapewe kazi ya kuwashangilia vijana. Kuhusu hao vijana kushangilia washigilie sana ila kwa staha. Siyo kama shangilia ya kipa wa taifa la DRC, hiyo hapana.
Jana nilimkosa mtu konzi...kwa habari hizi hizi...alitaka kuleta habari za ajabu mara simba mara yanga...mara sijui nini, lengo atuondoe kwenye kuunganika pamoja kama taifa kuishangilia timu yetu ya vijana ya Serengeti Boys. Na wewe naona umeanza....Wachukuliwe Vijana wa Uvccm Lumumba
Ila we mtu wa ajabu sana unakumbuka juzi ulinipiga mkwala wa kishambaJana nilimkosa mtu konzi...kwa habari hizi hizi...alitaka kuleta habari za ajabu mara simba mara yanga...mara sijui nini, lengo atuondoe kwenye kuunganika pamoja kama taifa kuishangilia timu yetu ya vijana ya Serengeti Boys. Na wewe naona umeanza....
Acha unafiki...!!na kaa ukijua kwamba wanafiki hawataenda mbinguni.Kumbe siku hizi kuna SEREGETI BOYS?? au ni mimi nimekosea kusoma title
Serengeti Boys ndiyo habari ya mjini achana na mambo ya juzi....! Leta mbinu za kutuunganisha watanzania kuunga mkono timu yetu wote watanzania.Ila we mtu wa ajabu sana unakumbuka juzi ulinipiga mkwala wa kishamba
Haa haa!! Umenikumbusha mbali sana! Kuna watu wakikupiga konzi/kwenzi lazima sehemu hiyo isiote nywele tena!!Jana nilimkosa mtu konzi...kwa habari hizi hizi...alitaka kuleta habari za ajabu mara simba mara yanga...mara sijui nini, lengo atuondoe kwenye kuunganika pamoja kama taifa kuishangilia timu yetu ya vijana ya Serengeti Boys. Na wewe naona umeanza....