Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaeleweka, "timing" ya nini?Kwamba hawaitaji hela? Timing hiyo, lazima kuna mahali watapata mara 2
Kwanini hamna jema? /Kwamba hawaitaji hela? Timing hiyo, lazima kuna mahali watapata mara 2
Serikali jamani. Au waziri basiHongera mama Samia.
Wenye wivu wajinyonge.
Safi sana,Naipongeza serekali kwa hili,hakika inadhamira njema na nzuri kwa taifa hili.
Kwanini hamna jema? /
Nijuavyo Mimi hapa serekali awamu ya sita imecheza karata muhimu mno!,wakija kumalizia na suala la double taxation,kwisha kazi ambalo mchakato wake umeanza,serekali awamu ya sita inakwenda kumaliza kero na hoja zote zenye kupigiwa kelele...!
Hujaeleweka, "timing" ya nini?
Nini "watapata mara 2"?