Tunaiomba serikali iweke wazi kwamba kumudumia mama mjamzito anapokwenda kiliniki kuwa nihela
imekuwa kawaida sasa kwa hosptali zetu kuwatoza fhedha wamama wajawazito wanapokwenda kilini,kati ya hospitali ambazo zimeweka wazi kuwa ni hela ni kaloleni levolosi ambapo kama hautakuwa na hela itakubidi kurudi
serekali imekuwa ikitangaza kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure jambo ambalo sikweli.
imekuwa kawaida sasa kwa hosptali zetu kuwatoza fhedha wamama wajawazito wanapokwenda kilini,kati ya hospitali ambazo zimeweka wazi kuwa ni hela ni kaloleni levolosi ambapo kama hautakuwa na hela itakubidi kurudi
serekali imekuwa ikitangaza kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure jambo ambalo sikweli.