serekali tatu zinakuja. nani anafaa kuwa rais wa serekali ya muungano?

serekali tatu zinakuja. nani anafaa kuwa rais wa serekali ya muungano?

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
10,827
Reaction score
4,176
mimi kama mtanganyika naitaka tanganyika yangu. my motherland. nataka japo jina tu. hata kama kila kitu kitabaki kilekile. ya zanzibar watasema wazanzibari wenyewe.

lakini kwa mujibu wa kabrasha la tume ya katiba, rais wa serikali ya muungano anatakiwa awe mmoja wapo wa marais wastaafu. kwa kuwa jakaya anamaliza muda wake, rais wa wachache huyu! ina maana sasa kufikia kwaka 2015 tanzania itakuwa na marais wastaafu watatu walio hai, Mungu awape pumzi.

1. Jakaya
2. Mzee Mwinyi
3. Mzee Mkapa

Swali, ikiwa hoja ya serikali 3 itapita, ni nani anafaa kuwa Rais wa Serekali ya Muungano?

Ng'wanangwa
 
Nadhani umefanya haraka kuuliza hilo swali lako, ndiyo kwanza rasimu ya katiba kakabidhiwa rais hata kura za maoni bado kuhusu serikali tatu.
 
Kipengere cha rais wa Muungano kuwa msataafu ni kibovu na inabidi kifutwe. Ninashauri kuwa Rais wa Muungano achaguliwe kwa kutumia electoral college system; hatuwezi kuwa tunarudia makapi yale yale kila kukicha.
 
Nadhani umefanya haraka kuuliza hilo swali lako, ndiyo kwanza rasimu ya katiba kakabidhiwa rais hata kura za maoni bado kuhusu serikali tatu.

nasikia Jakaya anaunga mkono serikali 3. what are the motives?
 
mimi kama mtanganyika naitaka tanganyika yangu. my motherland. nataka japo jina tu. hata kama kila kitu kitabaki kilekile. ya zanzibar watasema wazanzibari wenyewe.

lakini kwa mujibu wa kabrasha la tume ya katiba, rais wa serikali ya muungano anatakiwa awe mmoja wapo wa marais wastaafu. kwa kuwa jakaya anamaliza muda wake, rais wa wachache huyu! ina maana sasa kufikia kwaka 2015 tanzania itakuwa na marais wastaafu watatu walio hai, Mungu awape pumzi.

1. Jakaya
2. Mzee Mwinyi
3. Mzee Mkapa

Swali, ikiwa hoja ya serikali 3 itapita, ni nani anafaa kuwa Rais wa Serekali ya Muungano?

Ng'wanangwa

Zije Serikali 3, then ndipo itafahamika nani anafaa kuwa nani.... Ila mimi naangalia Tanganyika Gov hiyo muungano haina issue
 
lakini kwa mujibu wa kabrasha la tume ya katiba, rais wa serikali ya muungano anatakiwa awe mmoja wapo wa marais wastaafu.

Hakuna hiki kitu kwenye rasimu, Warioba havuti sigara ----- wewe!

Nimesoma kipengele cha 79 kuhusu sifa za rais wa muungano na hakuna hii takataka.

waTZ tusome jamani, vingenevyo kila mvivu wa kusoma atatuletea story za kijiweni kwake.
 
Ndo maana wanasema ukitaka kuficha ukweli kwa mwafrika ,ukweli uweke kwenye kitabu!
Mwambie huyo aweke pic ya huo ukurasa au kipengele aliko soma hiyo kitu.
 
Wabaguzi wote wanashabikia serikal3 wameshazoea kubaguana kikanda kabila na dini zao
 
Mbona unauliza swali huku ukiwa unajua majibu!!? Serikali zote zitakuwa chini ya chama cha watanzania ambacho pia ni mali ya watanzania CCM.
 
Waryoba na timu yake kaniudhi waryoba ht akifa msiba wake siendi kamsaliti baba Wa taifa mwalimu JK Nyerere. Waryoba amenunuliwa na mamluki wapinga maendeleo mabwenyeye makabaila.
 
Back
Top Bottom