Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Na wao watakunywa pia Wakudadavua kawapa ofa ya utamu wake kwa kila mfungajiWachezaji wanapewa mori kivipi kwa punguzo la bei za vinywaji baada ya mechi?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1] acha ubahili mkuu
Bia ya Serena na kiduka Cha Mangi utamu Ni tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale mbuzi sidhani kama wanamahusiano Na bashite. Hawanaga uswahili and I bet hawatoshusha!
Kila kitu kwenu ni siasa hamuwezi angalia kibiashara hata siku moja?..Ba.shite ashamwaga pesa za walipa kodi wavuja jasho, Uzalendo haujengwi Kwa kupunguza bei za vinywaji Na mambo kama hayo ya OFA bali matendo Na uwajibikaji wa Viongozi waliopewa mamlaka
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hamna biashara hapo mkuu, huo ni ulaghai wa muda mfupiKila kitu kwenu ni siasa hamuwezi angalia kibiashara hata siku moja?..
Hawajasema bei zitapungua wiki nzima ni kwa masaa 6 tu!... Kuwa kiongozi ni pamoja na haya mradi hajalazimisha!..Hamna biashara hapo mkuu, huo ni ulaghai wa muda mfupi
Sent from my iPhone using Tapatalk