Serena Williams apata mchumba

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yule mwanamichezo maarufu wa Marekani Serena Williams amepata nchumba.

Hiii ni habari mbaya kwa wale marafiki zangu wa Tanzania walioko huko ambao wengi walitarajia hako kanafasi.

Hatahivyo yupo aliepo kwaajili yenu msikate tamaa.

--------------
Serena Williams achumbiwa na mwanzilishi mwenza wa mtandao wa Reddit

 
Akaze miguu[emoji23][emoji23][emoji23]
haha Mpwa kwahilii simfichii anakaziipevuu... Hasawakati anapiz kunawenginewanabana miguu akimwagasasa nakaguuchake anawezeishia wakavunja engine yajamaa kabisa
 
haha Mpwa kwahilii simfichii anakaziipevuu... Hasawakati anapiz kunawenginewanabana miguu akimwagasasa nakaguuchake anawezeishia wakavunja engine yajamaa kabisa


Ndio umeandika nini?
 
Alishasema hawezi kuolewa na mtu mweusi maana wengi wao sio waaminifu kwenye mahusiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…