Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
.........saaafi.....lakni tatizo Mewata......
Williams hajatulia!
Sema ni demu mremo sana kwa Afrikan standards...hivi ameshaolewa tayari? Au anangojea nini?
.........saaafi.....lakni tatizo Mewata......
kwa nini huyu Common asimwife tuu kisha tujue moja?
Surfs up! Serena Williams catches some waves in a pair of ill-fitting bikini bottoms | Mail Online
wezere kiwango but mkuu mewata haitakiwi izidi saana...Hahahaaaaa mzee wa Wezere...MEWATA dizaini hiyo ndo mwake babaake...kuna watu ndo ugonjwa wetu...Wezere+Mewata dizaini hiyo
Kazi na dawa mazeeTaratiiibu naona post 'zinaboreshwa' kwa mapichaz! Ilianza ya Serena, imefuata nyingine ya kufagilia mewata na wezere, itakayokuja hapa nadhani ni link ya kule mzee wa kutamu.
.........saaafi.....lakni tatizo Mewata......
kila demu wanapakaza Liumba kapita ati ana ngoma.....Goal of 2009-Marriage
Vipi keshapatikana?
Serena mtoto wa misuli na mitulinga inabidi ukae chonjo