Serena Williams jana

Hello
I am looking for a topic to talk about I promise I am going to do that soon
 

Haya tusubiri wiki hii au mwezi huu Dada zetu hapa Bongo nawao uwaone na kivazi kama hicho wakijikita katika sehemu kama hizo maskini wapi leo Baada kifa cha mlezi wa Taifa hili mengi yasiyostahiki katika jamii hii tutayashuhudia na kule wale watakaosema eti tunaishi kileo nakuapieni kama walaiti mwalim julias yupo hai yasingefika mambo kama haya hapa Tz
 

Duh!! Nimejaribu kuvuta hisia juu ya nini hasa kilicho ndani ya kabati ya huyo mwana dada hadi kichwa chauma...sipati picha..namwachia mshikaji wake ..yeye ndio anaweza akatupa story halisi...lakini nadhani itakuwa imekakamaa sana kutokana na mazoezi mazito kiasi kwamba inatakiwa uwe mwana mazoezi ili kumudu pambano...la sivyo utaishia kulia....haaaahaaahaaaa.
 
Hana lolote zaidi ya kuwa mcheza tenis bingwa. Assume anavaa nguo (sketi na brauz) ndefu za kufunikia maeneo hayo ya mwili (makalio na mapaja)! Hizo comments zitabadirishwa kiaina!.

Wengi mtachoka, ana umbo la kawaida kama wanawake walio wengi. Si mrembo.
 
MI nilidhani jamaa ni mlinzi wake tu...kumbe?


 
Haya na yale Serena Makalio anayo!!!!!!!!

na ndo wazimu wangu
 
Hata top 10 ya Amatus Liumba hayumo...heri akina Kalunde na Kabula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…