Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Nadhani huu ni ubaguzi wa Kidini
mnamsingizia Iddi Simba mambo mengi kwa sababu ni muislam
hakuna cha zaidi ya wivu tuu hapa
ndio maana yakefikra mgando!! hata mungu hajatutenga kwa mfumo wa dini, wewe akili zako zinamatatizo ya uvivu wa kufikiria na kutafakali mambo ya dini na ukweli wapi na wapi? kasemwa chenge,lowasa,kalamagi na wengine kibao ulisikia issue ya udini ikihusishwa?
Hakuna mahakama iliyomhukumukwanini capt maliki panafric umeruka issue zote za yeye kuhusishwa kashfa ya sukari, kuonga wapiga kura allipokuwa mbunge na kashfa mbaya zaidi ya hivi karibuni ya UDA na kukimbilia moja kwa moja kwenye DINI. Does logic and reasoning apply to you at all ??