AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Kazi kweli kweli nilidhani nitaona soka likitandazwa "live" , bora wangeposti picha tu tujue moja.Sasa kaka hiyo ni video au picha tu?
lakini mkuu,si vema hata umeona hizo picha?Kazi kweli kweli nilidhani nitaona soka likitandazwa "live" , bora wangeposti picha tu tujue moja.
ni video still picha mkuuSasa kaka hiyo ni video au picha tu?
TENA SANA TU,USIHANGAE TUKIFIKA HATA KOMBE LA DUNIA LA VIJANAWakiendelezwa tutafika mbali
Inawezekana kama vipaji tunavyo inachobaki ni kuvitunza kuna nchi hazina vipaji wanalazimisha mpaka wanafanikiwaTENA SANA TU,USIHANGAE TUKIFIKA HATA KOMBE LA DUNIA LA VIJANA
Tatizo serikali ya sasa haisapoti michezo. Kwenye bajeti ya wizara ya habari na michezo awajatenga bajeti ya maana ya kuendeleza michezo nchini.
Kama hawasapoti michezo kwa nini wameshinda??Tatizo serikali ya sasa haisapoti michezo. Kwenye bajeti ya wizara ya habari na michezo awajatenga bajeti ya maana ya kuendeleza michezo nchini.
South wanamtafuta Nurdin Bakari wa sasa
mie nilichoka eti bajeti ya wizara ya michezo ni bilioni 1 pesa ambayo simba na yanga wanazitumia kuzajili,wao ndio ya kuenddeleza michezo,yani ni aibu kabisa kuwa na utaratibu ambao hauna tija kwa taifaTatizo serikali ya sasa haisapoti michezo. Kwenye bajeti ya wizara ya habari na michezo awajatenga bajeti ya maana ya kuendeleza michezo nchini.