Serengeti boys wachukua ubingwa mashindano maalum Rwanda

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,261
Reaction score
17,202
Timu ya Serengeti boys wamechukua ubingwa wa mashindano maalum yaliyofanyika Rwanda maarufu kama Ferwafa baada ya kutoka droo ya magoli matatu kwa matatu.
Mashindano hayo yalishirikisha timu tatu za Rwanda,Tanzania na Cameroon..
 
Hongera nyingi kwao. Ila yule golikipa aliyedaka mechi ya leo kama ndiye namba moja basi ndoto za kufuzu nusu fainali zinaweza kuyeyuka kutokana na makosa yake ya kuruhusu magoli ya mbali na ya kizembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…