Joannah Nakupenda [emoji3590][emoji3590]Umetisha Sana.
😃We umetisha zaidi!makopa tele kwakoJoannah Nakupenda [emoji3590][emoji3590]
[emoji182][emoji39][emoji8][emoji2]We umetisha zaidi!makopa tele kwako
Mtoa mada unajua kukata Maasanga sana😀Big up kwako mpishi wa hii beer pendwa. Tangu wiki hii wanywaji tumegundua kuna mabadiliko makubwa sana katika ladha. Ni nzuri na ni laini vizuri kabisa. Endeleeni hapo. Kuna kipindi ladha ilianza kuwa ya ajabu ajabu this time, whatever you did. Endelea.
Hivi mwanaume unakunywa serengeti lite mpaka ulewe ni bia ngapi muda mwingine magojwa huwa mnajitakia wenyewe
hizo sijawahi kuzielewa mkuu!Unashauri tupige chini Kesto?
Sura itakushuka kama big g, shauri lako.Shida sio magonjwa.. shida hang over hatupendiii.. ndio maana tunagonga vi lite mixer konyagi ama k vant