Serengeti Shall never die?

Serengeti Shall never die?

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

"Serengeti shall never die" Huo ni usemi wa enzi na enzi ukitumiwa hasa na watafiti wa hifadhi za mazingira na wanyama waliotumia muda mwingikufanya tafiti mbali mbali za wanyama na mazingira yao.

Leo wakati namaliza ziara au ukipenda utalii niliotumia siku kadhaa naweka kambi kwa muda Seronera natafakari niliyojionea Serengeti najikuta naukumbuka ule usemi maarufu "SERENGETI SHALL NEVER DIE".

Natama waliotujia na usemi huo wafufuke wajionee wenye Serengeti inayofanyiwa vitimbi vyote vya kuuwawa tena maksudi kabisa.

Barabara ni mbaya kupitiliza hali ya usafi katika sehemu za kujisiri ni mbaya hata toilet paper hakuna na usafi ni duni nikajaribu kuuliza kulikoni naambiwa hakuna fedha !!!!!!!.Yaani Hifadhi inayoingiza mabilion ya USD hawana fedha ????????.

Nauliza fedha zote zimeenda wapi naambiwa siku hizi fedha zooooote zina kwenda hazina kwa yule Bingwa wa Uchumi na Mipango Dr mkubwa kuliko madaktari wote wa uchumi ambao Tanganyika iliwahi kuwashuhudia.Zikishachukuliwa wanagaiwa fedha kiduchu ambazo hazikidhi gharama za uendeshji wa HIFADHI zooooote.

Kifupi HIFADHI zote zipo hoi hakuna fedha ingawa zinaingiza fedha !.

High season ndio inaanza halafu HIFADHI hazina fedha ingawa zinatarajiwa kuingiza fedha.Barabara mbovu,madaraja mabovu,huduma mbovu,watumishi hawalipwi, hakuna miradi ya ujirani mwema halafu tunahimizwa kuipigia kura SERENGETI eti kivutio bora duniani !.
Mambo madogo madogo tunashindwa kuyafanya lipi tunaweza,hakika aliyetuliga waafrika sijui tumpatie nini aturejeshee akili na maarifa.

Tumezifanya hifadhi zetu sawa na halmashauri,hakika ni suala la muda tu hizi hifadhi zetu tutazizika wenyewe kwa kukosa maarifa kidogo ya kuziendesha zinavyotakiwa.

Ngongo kwasasa Seronera.
 
Surely they've long been in the process of dearth, death and decay ever since man first set his dirty foot there.
 
-Kuna wa kufuza kazi hapo,
Usafi hata wa vyoo tubinafsishe!?
-SEREKALI IWE MAKINI ENDAPO KAMA TUNATAKA KUKUZA UTALII WETU, BASI NIPENI AJIRI ILI NIWE MENEJA WA VYOO VYA MBUGANI.
 
Heshima sana wanajamvi,

"Serengeti shall never die" Huo ni usemi wa enzi na enzi ukitumiwa hasa na watafiti wa hifadhi za mazingira na wanyama waliotumia muda mwingikufanya tafiti mbali mbali za wanyama na mazingira yao.

Leo wakati namaliza ziara au ukipenda utalii niliotumia siku kadhaa naweka kambi kwa muda Seronera natafakari niliyojionea Serengeti najikuta naukumbuka ule usemi maarufu "SERENGETI SHALL NEVER DIE".

Natama waliotujia na usemi huo wafufuke wajionee wenye Serengeti inayofanyiwa vitimbi vyote vya kuuwawa tena maksudi kabisa.

Barabara ni mbaya kupitiliza hali ya usafi katika sehemu za kujisiri ni mbaya hata toilet paper hakuna na usafi ni duni nikajaribu kuuliza kulikoni naambiwa hakuna fedha !!!!!!!.Yaani Hifadhi inayoingiza mabilion ya USD hawana fedha ????????.

Nauliza fedha zote zimeenda wapi naambiwa siku hizi fedha zooooote zina kwenda hazina kwa yule Bingwa wa Uchumi na Mipango Dr mkubwa kuliko madaktari wote wa uchumi ambao Tanganyika iliwahi kuwashuhudia.Zikishachukuliwa wanagaiwa fedha kiduchu ambazo hazikidhi gharama za uendeshji wa HIFADHI zooooote.

Kifupi HIFADHI zote zipo hoi hakuna fedha ingawa zinaingiza fedha !.

High season ndio inaanza halafu HIFADHI hazina fedha ingawa zinatarajiwa kuingiza fedha.Barabara mbovu,madaraja mabovu,huduma mbovu,watumishi hawalipwi, hakuna miradi ya ujirani mwema halafu tunahimizwa kuipigia kura SERENGETI eti kivutio bora duniani !.
Mambo madogo madogo tunashindwa kuyafanya lipi tunaweza,hakika aliyetuliga waafrika sijui tumpatie nini aturejeshee akili na maarifa.

Tumezifanya hifadhi zetu sawa na halmashauri,hakika ni suala la muda tu hizi hifadhi zetu tutazizika wenyewe kwa kukosa maarifa kidogo ya kuziendesha zinavyotakiwa.

Ngongo kwasasa Seronera.

"Serengeti Shall not die" 1959, ni moja ya filamu nzuri sana ya utalii iliyochezwa na mastaa maarufu duniani mwaka 1959 huko Arusha ilibeba kichwa hicho. Filamu hiyo ilichezwa kwenye hoteli ya Seronela, mbuga ya Serengeti na Arusha mjini na waliwatumia wanyama hai.​

Pamoja na kutengeneza filamu hiyo kwa gharama zao lakini Tanzania tulishindwa kuitumia.
 

"Serengeti Shall never die", ni moja ya filamu nzuri sana ya utalii iliyochezwa na mastaa maarufu duniani miaka ya sitini huko Arusha ilibeba kichwa hicho. Filamu hiyo ilichezwa kwenye hoteli ya Seronela, mbuga ya Serengeti na Arusha mjini na waliwatumia wanyama hai.​

Pamoja na kutengeneza filamu hiyo kwa gharama zao lakini Tanzania tulishindwa kuitumia.
Hili ni tatizo kubwa kuliko tunavyofikiri.Naambiwa mkuu wa wa Hifadhi zote ni mtu wa fedha [Mhasibu mstaafu] hana uchungu na kifo cha hifadhi zote.

Mkuu wa nchi ni Mzanzibar anajua wazi utalii ukifa Tanganyika kwasababu ya maamuzi ya kijinga hana hasara.
 
Heshima sana wanajamvi,

"Serengeti shall never die" Huo ni usemi wa enzi na enzi ukitumiwa hasa na watafiti wa hifadhi za mazingira na wanyama waliotumia muda mwingikufanya tafiti mbali mbali za wanyama na mazingira yao.

Leo wakati namaliza ziara au ukipenda utalii niliotumia siku kadhaa naweka kambi kwa muda Seronera natafakari niliyojionea Serengeti najikuta naukumbuka ule usemi maarufu "SERENGETI SHALL NEVER DIE".

Natama waliotujia na usemi huo wafufuke wajionee wenye Serengeti inayofanyiwa vitimbi vyote vya kuuwawa tena maksudi kabisa.

Barabara ni mbaya kupitiliza hali ya usafi katika sehemu za kujisiri ni mbaya hata toilet paper hakuna na usafi ni duni nikajaribu kuuliza kulikoni naambiwa hakuna fedha !!!!!!!.Yaani Hifadhi inayoingiza mabilion ya USD hawana fedha ????????.

Nauliza fedha zote zimeenda wapi naambiwa siku hizi fedha zooooote zina kwenda hazina kwa yule Bingwa wa Uchumi na Mipango Dr mkubwa kuliko madaktari wote wa uchumi ambao Tanganyika iliwahi kuwashuhudia.Zikishachukuliwa wanagaiwa fedha kiduchu ambazo hazikidhi gharama za uendeshji wa HIFADHI zooooote.

Kifupi HIFADHI zote zipo hoi hakuna fedha ingawa zinaingiza fedha !.

High season ndio inaanza halafu HIFADHI hazina fedha ingawa zinatarajiwa kuingiza fedha.Barabara mbovu,madaraja mabovu,huduma mbovu,watumishi hawalipwi, hakuna miradi ya ujirani mwema halafu tunahimizwa kuipigia kura SERENGETI eti kivutio bora duniani !.
Mambo madogo madogo tunashindwa kuyafanya lipi tunaweza,hakika aliyetuliga waafrika sijui tumpatie nini aturejeshee akili na maarifa.

Tumezifanya hifadhi zetu sawa na halmashauri,hakika ni suala la muda tu hizi hifadhi zetu tutazizika wenyewe kwa kukosa maarifa kidogo ya kuziendesha zinavyotakiwa.

Ngongo kwasasa Seronera.
Barabara mbovu ndio kutafanya Serengeti ife?
 
Hili ni tatizo kubwa kuliko tunavyofikiri.Naambiwa mkuu wa wa Hifadhi zote ni mtu wa fedha [Mhasibu mstaafu] hana uchungu na kifo cha hifadhi zote.

Mkuu wa nchi ni Mzanzibar anajua wazi utalii ukifa Tanganyika kwasababu ya maamuzi ya kijinga hana hasara.
Hifadhi zaitakufa kwa ujenzi holela wa Mahoteli ndani ya Hifadhi na wala sio kwa kuto kukarabati Barabara, sioni uhusiano wa Barabara mbovu na kufa kwa hifadhi
 

"Serengeti Shall never die", ni moja ya filamu nzuri sana ya utalii iliyochezwa na mastaa maarufu duniani miaka ya sitini huko Arusha ilibeba kichwa hicho. Filamu hiyo ilichezwa kwenye hoteli ya Seronela, mbuga ya Serengeti na Arusha mjini na waliwatumia wanyama hai.​

Pamoja na kutengeneza filamu hiyo kwa gharama zao lakini Tanzania tulishindwa kuitumia.
YEs na kitakacho iua ni kasi ya kuharibu ecologia, Vipi na ile ya Hatari? nayo bonge la filamu aisee
 
YEs na kitakacho iua ni kasi ya kuharibu ecologia, Vipi na ile ya Hatari? nayo bonge la filamu aisee
"HATARI" 1962 ninakumbuka ilichezwa na John Wayne alkuwa star maarufu duniani, picha zote hizi badi zipo ila haziifikii "Royal Tour" iliyochezwa na mastaa wawili maarufu wanaopendwa sana sana kwenye tasnia ya filamu duniani kwa sasa kwa kuliteka soko la filamu duniani.
 

"Serengeti Shall not die" 1959, ni moja ya filamu nzuri sana ya utalii iliyochezwa na mastaa maarufu duniani mwaka 1959 huko Arusha ilibeba kichwa hicho. Filamu hiyo ilichezwa kwenye hoteli ya Seronela, mbuga ya Serengeti na Arusha mjini na waliwatumia wanyama hai.​

Pamoja na kutengeneza filamu hiyo kwa gharama zao lakini Tanzania tulishindwa kuitumia.
Tumelaaniwa sisi. Na haya yote yanasababishwa na nchi kutumia watu ambao hawana utaalamu kwenye maswala ya utalii eti watunze utalii wetu. Ni ushamba wa hali ya juu
 
Tumelaaniwa sisi. Na haya yote yanasababishwa na nchi kutumia watu ambao hawana utaalamu kwenye maswala ya utalii eti watunze utalii wetu. Ni ushamba wa hali ya juu
Mkuu wao ni Mhasibu mstaafu.
 
Back
Top Bottom