rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Njano na Kijani(CCM) ni kwa kipindi hiki cha mpito tu, chaguzi mbili zijazo zikimalizika mtarudishiwa kinywaji chenu pendwa.Hii mada inawahusu wanyeaji tu. Tangia Serengeti ibadilishe bia ya Serengeti larger yenye makaratasi meusu na kutuletea nyingine yenye makaratasi ya njano sio tu imebadilishwa meoneko Bali pia na ladha imebadilika. Ladha mpya sio tu haina msiaimko Bali inakera naomba Serengeti wanrudishe chuichui wa zamani.
Kweli aisee, hili nalo likaangaliweWakimaliza tunaomba Serikali ya mama Samia watuludishie Viroba.
Njoo kwenye balimi bia ya wakulima.....Hii mada inawahusu wanywaji tu.
Tangia Serengeti ibadilishe bia ya Serengeti larger yenye makaratasi meusu na kutuletea nyingine yenye makaratasi ya njano sio tu imebadilishwa meoneko Bali pia na ladha imebadilika.
Ladha mpya sio tu haina msiaimko Bali inakera naomba Serengeti wanrudishe chuichui wa zamani.
Dah nilidhani ni mimi tu nakereka na haya mabadilikoHii mada inawahusu wanywaji tu.
Tangia Serengeti ibadilishe bia ya Serengeti larger yenye makaratasi meusu na kutuletea nyingine yenye makaratasi ya njano sio tu imebadilishwa meoneko Bali pia na ladha imebadilika.
Ladha mpya sio tu haina msiaimko Bali inakera naomba Serengeti wanrudishe chuichui wa zamani.