Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Hatari sanaUkiangalia msimamo na ushindi walio upata wamekaribia kabisa kuwa mabingwa kwa msimu wa 2023/24.
Wanahitaji kushinda mechi 5 tu kati ya 10. Hapa ni kama wapinzani wake nao wanaendelea kushinda.
Vinginevyo watakuwa timu ya kwanza ktangaza ubingwa katika ligi 5 bora barani ulaya.
Wametisha sana. Tunawapa maua yao.
View attachment 2929919
Kichwa cha habaria na uliyoyaandika ndani ya uzi vina tofautianaUkiangalia msimamo na ushindi walio upata wamekaribia kabisa kuwa mabingwa kwa msimu wa 2023/24.
Wanahitaji kushinda mechi 5 tu kati ya 10. Hapa ni kama wapinzani wake nao wanaendelea kushinda.
Vinginevyo watakuwa timu ya kwanza ktangaza ubingwa katika ligi 5 bora barani ulaya.
Wametisha sana. Tunawapa maua yao.
View attachment 2929919