Series (Special thread)

Atoto yani wewe ndio umeonesha kuwa wa mwisho kuanza kuangalia S02 ya empire. Jitaidi twende sawa kabla hatuja imaliza tuka anza subiri S03 😁😁

Didnt knew kwakweli, and scandal season 5 is out
 
Kwa upande wangu nime angalia .

1. Teen Wolf.
2. Spartacus.
3. Siri ya Mtungi.
4. Empire.
5. Banshee.
6. 90210.
7. Person of interest.
8. Vampire diares
9. The originals

chekini hizo wadau.
 
Kuna hizi mpyaa mwezi huu septemba
1.Quantico
2.The Player
3.Limitless
4.Minority report
5.Narcos
6.Bastard Executor
7.Public Morals
 
Katika hizi kuna yenye mwelekeo wa 24 au homeland? Yaa theme za hvo?!

Hiyo Quantico ndo intelligency...conspiracy..nlichek trela lake ni story ya mwanfunzi wa FBI anakuwa framed na tukio la kigaidi....pia kuna Blindspot nmesahau kuiweka hapo pia ina theme dizaini hzo.....Angalizo wengi tumekuwa addicted na 24 kwa kweli...
 

Asante....sana mdau....ila kwakweli jack bour katuvuruga sana....dah! Thanks
 
Pole aisee..Nilijisahau..Ila bado hujachelewa.Fanya uicheki...Na "If loving you is wrong" season 3 ep01 wameiachia juzi

Alafu ujue if loving you is wrong sijaangalia season2, bora umenikumbusha nilishaisahau

Mm kwakweli haijanipa mzuka sana...
Kila nikiwaza ushoga wa mule napata ukakasi kuendelea nayo.

Tutafanyaje sasa na kila movie wanayotoa now ufirauni huo umo, tuangalie tu vile vya msingi, hayo mengine wabaki nayo wenyewe.
 
Alafu ujue if loving you is wrong sijaangalia season2, bora umenikumbusha nilishaisahau



Tutafanyaje sasa na kila movie wanayotoa now ufirauni huo umo, tuangalie tu vile vya msingi, hayo mengine wabaki nayo wenyewe.
Duuuh..season 2 ilikuwa poa sana,,Fanya uicheki..Empire inaonekana ushoga season hii ndo utashamiri zaidi
 
Lost
Vampire diaries
Legend of the seeker
Missing
Empire
The origins
Revolution
The last man on earth
Chuck
Limitless (new)
Blindspot (new)
Gotham
Banshee
Strike back
Shuga (african series 'love sex and money')

These are my favorites....
 
_The 100
_The last ship
_The blacklist
_Nikita
_The person of interest
_Prison break
_The originals
_Under the dome
Hizo ndo zangu wakuu,*must watch*
 
Hizipia ni shida ila watoto laini laini hazito wafaa

Narcos

Gangrelated

Atoto na kaboom mnazijua hizo series?😯
 
Alafu ujue if loving you is wrong sijaangalia season2, bora umenikumbusha nilishaisahau



Tutafanyaje sasa na kila movie wanayotoa now ufirauni huo umo, tuangalie tu vile vya msingi, hayo mengine wabaki nayo wenyewe.

Kilichofanya niache ni ile shoga kuonekana kama ndo mkombozi pekee wa empire. Yaani shoga kupewa role ambayo lazima umpende na kumshangilia. Hapo mm hapana.
Niko radhi nirudi Korea au tollywood aka bongo movie.
 
Wapenzi wa Series, Msikose hii External HDD, Ni Mpya kwenye Box.
Iko na TV Series 45. Ukianza kuiangalia, toka unatungisha Mimba, Mtoto anazaliwa, hadi anafikisha Umri wa Mwaka1, utakuwa
Hujamaliza kuingalia yote. Na hapo ni kwa wale wenye Uwezo wa Kuangalia TV masaa8 kwa Siku.

Kujua Series gani zilizopo,
Send a Text word "SERIES"



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…