Serikali acheni kucheza na tozo kwenye bei ya mafuta punguzeni kodi ya VAT toka 18 hadi 10

Serikali acheni kucheza na tozo kwenye bei ya mafuta punguzeni kodi ya VAT toka 18 hadi 10

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Bei ya mafuta ya petroli na diseal imeshuka tena na kuwa chini ya USD 100 kutoka 130 wiki iliyopita. Wiki iliyopita serikali ilitoa tozo ambalo ni mahususi kwa jambo maalumu. Mimi nadhani serikali ipunguze VAT kwenye mafuta ili kuleta suluhisho la kudumu kuliko hili la kutoa tozo.
 
Itapanda tena bwashee!
Mkuu ni kweli ndiyo maana na shauri tozo zibaki zilivyo kwa sababu ni za jambo mahususi ila VAT ipunguzwe au iondolwe kabisa kwenye mafuta tu tena wakati yanaingizwa nchini
 
Mkuu ni kweli ndiyo maana na shauri tozo zibaki zilivyo kwa sababu ni za jambo mahususi ila VAT ipunguzwe au iondolwe kabisa kwenye mafuta tu tena wakati yanaingizwa nchini
Hicho ni kitu kisichowezekana kwa sasa!
 
Unafahamu namna mafuta yanavyonunuliwa? Mafuta yanayonunuliwa leo yatatumika mwezi wa 5
 
Wazo zuri ,ila wakulitekeleza nani? Usijali ndugu subili niwe rais
Bei ya mafuta ya petroli na diseal imeshuka tena na kuwa chini ya USD 100 kutoka 130 wiki iliyopita. Wiki iliyopita serikali ilitoa tozo ambalo ni mahususi kwa jambo maalumu. Mimi nadhani serikali ipunguze VAT kwenye mafuta ili kuleta suluhisho la kudumu kuliko hili la kutoa tozo.
 
Unafahamu namna mafuta yanavyonunuliwa? Mafuta yanayonunuliwa leo yatatumika mwezi wa 5
Inahusiana nini na kutoa au kupunguza VAT badala ya kutoa tozo
 
Bei ya mafuta ya petroli na diseal imeshuka tena na kuwa chini ya USD 100 kutoka 130 wiki iliyopita. Wiki iliyopita serikali ilitoa tozo ambalo ni mahususi kwa jambo maalumu. Mimi nadhani serikali ipunguze VAT kwenye mafuta ili kuleta suluhisho la kudumu kuliko hili la kutoa tozo.

Dah! Miaka inakimbia kwa kasi kweli kweli. Miaka michache iliyopita, wakati tunatoa maoni ya aina hii; mlituita wapiga dili na mafisadi! Na ndiyo maana tunalalamika. Ila leo mnarudi kule kule!

I wish na wenzako wote mtaendelea kubadilika kidogo kidogo baada tu ya mama yenu kuupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom