jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wasalaam,
Naomba kutoa wito kwa serikali hususani wizara ya kilimo chini ya Mheshimiwa Bashe kuanza mkakati kabambe wa kuwekeza kwenye kilimo cha mazao ya mafuta kama alizeti, karanga, ufuta, michikichi n.k
Kwa hali iliyopo ambapo nchi uzalishaji wa mafuta ya kula ni 45% na tunaagiza 55% bado na inapaswa tujihurumie na tutambue tumefanya kosa kubwa sana. Kwa ardhi kubwa yenye rutuba kuagiza mafuta ya kupikia nje ya nchi ni tusi kwa nchi yetu.
Natoa wito kwa wizara ya kilimo na taasisi zake sasa kuanza kampeni kabambe ndani ya miaka mi5 kuhakikisha nchi sasa inawekeza nguvu zaidi katika kilimo cha mfuta ya kupikia ili tuweze kujitosheleza kwa mahitaji ya ndani na pia kuweza kuanza kuuza mafuta nje ya nchi.
Hakuna linaloshindikana kama mkiweka siasa pembeni na kufanya kwa weredi na mtaalamu ili kufikia lengo maana ardhi tunayo, nguvu kazi tunayo, wataalamu tunao, pembejeo zipo ingawa hapa zinabidi zipatikane kwa urahisi.
Kila la kheri mumsaidie rais na wananchi acheki kujificha kwenye kichaka cha vita ya urusi na Ukraine au Covid19 kila mara mambo yanapo enda kombo.
#MaendeleoHayanaChama
Naomba kutoa wito kwa serikali hususani wizara ya kilimo chini ya Mheshimiwa Bashe kuanza mkakati kabambe wa kuwekeza kwenye kilimo cha mazao ya mafuta kama alizeti, karanga, ufuta, michikichi n.k
Kwa hali iliyopo ambapo nchi uzalishaji wa mafuta ya kula ni 45% na tunaagiza 55% bado na inapaswa tujihurumie na tutambue tumefanya kosa kubwa sana. Kwa ardhi kubwa yenye rutuba kuagiza mafuta ya kupikia nje ya nchi ni tusi kwa nchi yetu.
Natoa wito kwa wizara ya kilimo na taasisi zake sasa kuanza kampeni kabambe ndani ya miaka mi5 kuhakikisha nchi sasa inawekeza nguvu zaidi katika kilimo cha mfuta ya kupikia ili tuweze kujitosheleza kwa mahitaji ya ndani na pia kuweza kuanza kuuza mafuta nje ya nchi.
Hakuna linaloshindikana kama mkiweka siasa pembeni na kufanya kwa weredi na mtaalamu ili kufikia lengo maana ardhi tunayo, nguvu kazi tunayo, wataalamu tunao, pembejeo zipo ingawa hapa zinabidi zipatikane kwa urahisi.
Kila la kheri mumsaidie rais na wananchi acheki kujificha kwenye kichaka cha vita ya urusi na Ukraine au Covid19 kila mara mambo yanapo enda kombo.
#MaendeleoHayanaChama