MKILINDI
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 791
- 1,120
Kwa muelekeo wa ugawaji na uchanjaji wa chanjo ya UVIKO19 Tanzania na malumbano kati ya viongozi wa serikali wenyewe kwa wenyewe kuhusu kuchanja Corona yaonekana wazi kuwa serikali yaweza kushindwa vita hii, kwa kuwa, kwanza ni hiari lakini pia ilishajikwaa mwanzoni kuhusu chanjo hiyo kwa awamu iliyopita na utandawazi haumfichi mtu. watanzania wana kumbukumbu za video za viongozi waliokuwa wakihudumu na misimamo yao kuhusu chanjo kwa Serikali iliyopita.
Rais Samia Suluhu, alikuwa sahihi kuwateua mawaziri wa wizara hii kwa wakati ule ikiwa tu angeendeleza msimamo, imani, na mitizamo ya mtangulizi wake katika suala la ugonjwa huu wa Corona lakini kwa kuwa amegeukia katika duru zingine hivy kwa sasa hayupo sahihi kwa kuwarudisha walewale kwakuwa anachokiamini si kile walichokuwa wanakiamini aliowateua katika wizara husiika kwa kipindi chake na hiki ni mojawapo ya kitu kinacholea ugumu wa zoezi.
Bado serikali ya TANZANIA ina nafasi ya kuwashawishi watanzaania kuhusu chanjo kwa kufanya haya.
1) Wizara husika na viongozi wa wizara husika wabadilishwe. ili viongozi wapya wajao waweze kueleweka kwa watanzania pindi wanapotoka kuwaeleza watanzania kuhusu chanjo ya Corona. Leta sura mpya za wizara ya afya ambazo hazikuwa na misimamo ya mitishamba kama hawa waliopo.
2) Serikali ikubali kuwa mwanzoni ilikosea na iwaelekeze watanzania kuwa tubadili muelekeo na twende na muelekeo huu.
3) Imteue Waziri wa Afya mwenye skills za uongozi si lazima awe na proffessional yake ya afya. skills za uongozi zinatosha kufanya vizuri kwenye seniority position hata kama huna prosessionalism. tumkumbuke jk hapa aliwahi kusema "hakuna chuo cha kusomea uwaziri"
4) Serikali itangaze takwimu ya wagonjwa wa covid hata kwa data za kupika ili kugusa intimancy ya mtu na kuona umuhimu wa kuchanja.
Rais Samia Suluhu, alikuwa sahihi kuwateua mawaziri wa wizara hii kwa wakati ule ikiwa tu angeendeleza msimamo, imani, na mitizamo ya mtangulizi wake katika suala la ugonjwa huu wa Corona lakini kwa kuwa amegeukia katika duru zingine hivy kwa sasa hayupo sahihi kwa kuwarudisha walewale kwakuwa anachokiamini si kile walichokuwa wanakiamini aliowateua katika wizara husiika kwa kipindi chake na hiki ni mojawapo ya kitu kinacholea ugumu wa zoezi.
Bado serikali ya TANZANIA ina nafasi ya kuwashawishi watanzaania kuhusu chanjo kwa kufanya haya.
1) Wizara husika na viongozi wa wizara husika wabadilishwe. ili viongozi wapya wajao waweze kueleweka kwa watanzania pindi wanapotoka kuwaeleza watanzania kuhusu chanjo ya Corona. Leta sura mpya za wizara ya afya ambazo hazikuwa na misimamo ya mitishamba kama hawa waliopo.
2) Serikali ikubali kuwa mwanzoni ilikosea na iwaelekeze watanzania kuwa tubadili muelekeo na twende na muelekeo huu.
3) Imteue Waziri wa Afya mwenye skills za uongozi si lazima awe na proffessional yake ya afya. skills za uongozi zinatosha kufanya vizuri kwenye seniority position hata kama huna prosessionalism. tumkumbuke jk hapa aliwahi kusema "hakuna chuo cha kusomea uwaziri"
4) Serikali itangaze takwimu ya wagonjwa wa covid hata kwa data za kupika ili kugusa intimancy ya mtu na kuona umuhimu wa kuchanja.