Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Umeme,maji na internet ni nyezo zinazofanya vijana wengi wajiajiri na sector binafsi zikue.
Cha ajabu mnaenda kubinafsisha Bandari ambayo raia wa kawaida haelewi atanufaikaje na ubinafsishaji huo.
Raia tusio na upeo tunajiunga kupinga ubinfsishaji wa bandari yetu hata kama huo mkataba hatujausoma kwa sababu hatuelewi kivip bandari yetu haina ufanisi huku Bandari yetu inaongoza kwa kodi kubwa ya kuingiza mizigo hapa nchini na ukanda wa SADC.
Raia huku mtaani tunashangazwa kivip bandari yetu ipelekwe mikononi mwa wawekezaji kwa mkataba ambao mbovu huku mmemfukuza ELON MUSK kuwekeza kwenye internet ya kasi kwa sababu za kizee na zilizopitwa na wakati.
Vijana wengi tumeajiajiri kupitia nyenzo za internet, maji na UMEME.
Nakumbuka enzi za Jakaya Kikwete tuliambiwa gesi ya Mtwara inaenda kusolve tatizo la umeme na tutauza hadi nchi za nje sijui kikatokea nini mpaka mnaona aibu kuzungumzia gesi ya Mtwara.
Ni juzi tu tumetoka kwenye msimu wa mvua leo tumeshaanza mgao wa umeme.
Kama mnataka Watanzania tuwakubari binafsisheni vitu ambavyo vitamgusa direct mtanzania hayo ya bandari na kupelekana dubai tunaisi ni michongo yenu binafsi ya kuila nchi.
SIASA HAPA NCHINI IMEKUWA NDIYO BIASHARA KUBWA KULIKO BIASHARA ZOTE NDIYO MAANA VIONGOZI WANARITHISHA MADARAKA KWA WATOTO NA VIZAZI VYAO NA NDIYO MAANA CCM HAITAKI KUTOKA MADARAKANI.
Kingine raia tunataka tubadilishe utawala sio kama tunaakini Vyama pinzani vina wazalendo lahasha tunataka tubadilishe baadhi za koo nazo zionje utamu wa nchi kwa sababu tunapoenda kuna koo hazitakuja kuona tumaini kwa sababu kwenye koo nzima hakuna kiongozi hata wa kijiji na hii ina boost povert chain.
Cha ajabu mnaenda kubinafsisha Bandari ambayo raia wa kawaida haelewi atanufaikaje na ubinafsishaji huo.
Raia tusio na upeo tunajiunga kupinga ubinfsishaji wa bandari yetu hata kama huo mkataba hatujausoma kwa sababu hatuelewi kivip bandari yetu haina ufanisi huku Bandari yetu inaongoza kwa kodi kubwa ya kuingiza mizigo hapa nchini na ukanda wa SADC.
Raia huku mtaani tunashangazwa kivip bandari yetu ipelekwe mikononi mwa wawekezaji kwa mkataba ambao mbovu huku mmemfukuza ELON MUSK kuwekeza kwenye internet ya kasi kwa sababu za kizee na zilizopitwa na wakati.
Vijana wengi tumeajiajiri kupitia nyenzo za internet, maji na UMEME.
Nakumbuka enzi za Jakaya Kikwete tuliambiwa gesi ya Mtwara inaenda kusolve tatizo la umeme na tutauza hadi nchi za nje sijui kikatokea nini mpaka mnaona aibu kuzungumzia gesi ya Mtwara.
Ni juzi tu tumetoka kwenye msimu wa mvua leo tumeshaanza mgao wa umeme.
Kama mnataka Watanzania tuwakubari binafsisheni vitu ambavyo vitamgusa direct mtanzania hayo ya bandari na kupelekana dubai tunaisi ni michongo yenu binafsi ya kuila nchi.
SIASA HAPA NCHINI IMEKUWA NDIYO BIASHARA KUBWA KULIKO BIASHARA ZOTE NDIYO MAANA VIONGOZI WANARITHISHA MADARAKA KWA WATOTO NA VIZAZI VYAO NA NDIYO MAANA CCM HAITAKI KUTOKA MADARAKANI.
Kingine raia tunataka tubadilishe utawala sio kama tunaakini Vyama pinzani vina wazalendo lahasha tunataka tubadilishe baadhi za koo nazo zionje utamu wa nchi kwa sababu tunapoenda kuna koo hazitakuja kuona tumaini kwa sababu kwenye koo nzima hakuna kiongozi hata wa kijiji na hii ina boost povert chain.