Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Serikali Kiboko ya Wachawi anahamisha masanduku yasiyojulikani kuna nini ndani yake yanapitishwa porini na waumini wake yeye amekaa mahali hapo porini kuzipokea. Kuna nini? Kwa nini mtu huyu bado ana pasipoti?
Rais Samia utaingia kwenye mgogoro. Toa agizo huyu mtu akae ndani hadi baada ya uchunguzi dhidi yake. Mtagundua makubwa zaidi ya yanayojulikana. Tumechoka kesama. Tutarejea haya kama hatukusema.
Rais Samia utaingia kwenye mgogoro. Toa agizo huyu mtu akae ndani hadi baada ya uchunguzi dhidi yake. Mtagundua makubwa zaidi ya yanayojulikana. Tumechoka kesama. Tutarejea haya kama hatukusema.