Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Unaweza kuongea leo ukapuuziwa ila ni mbinu zinazotumiwa na taasisi za dini na ili kupitia makanisa wengi wamepatia mwanywa kutakatishia pesa zao.
Kwenye kutakatisha fedha kuna njia nyingi, ndio maana Kenya wameliona hili jambo.
Mtu anafungua kanisa ila utashangaa sadaka inayotoka na kuingia benki.
Taasisi za dini nazo zinafanya hivi kwa njia ya misaada.
Kwenye kutakatisha fedha kuna njia nyingi, ndio maana Kenya wameliona hili jambo.
Mtu anafungua kanisa ila utashangaa sadaka inayotoka na kuingia benki.
Taasisi za dini nazo zinafanya hivi kwa njia ya misaada.