Serikali chunguzeni kwa umakini kifo cha Solomon Mwalabhila

Kujieleza hujui japo unaweza kuwa na hoja nzuri. Halafu kwa nini unahusisha ukosefu wa mapato na kifo chake? Ina maana uhai wa mtu unakuwa na thamani zaidi kwa sababu ya mapato anayolipa? Uhai wa binadamu wote una thamani sawa hivyo ni kosa.
 
In Afrika Who Care?

Una point kubwa sana mkuu mi naunga mkono hoja.
 
Kujieleza hujui japo unaweza kuwa na hoja nzuri. Halafu kwa nini unahusisha ukosefu wa mapato na kifo chake? Ina maana uhai wa mtu unakuwa na thamani zaidi kwa sababu ya mapato anayolipa? Uhai wa binadamu wote una thamani sawa hivyo ni kosa.
Aliyezungumza hoja ya Marehemu na madhara ya mapato ni Mkuu wa Wilaya! Mimi nimejazia tu!
 
😆😆😆😆👇👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C-VA2Fwq870/?igsh=MXFudjJhdHM2cWd6dQ==
 
Aliyezungumza hoja ya Marehemu na madhara ya mapato ni Mkuu wa Wilaya! Mimi nimejazia tu!
Mkuu, sijamsikia ila kwa upande wako ulivyojazia, sidhani kama umetoa maelezo mazuri sana. Vifo vyote vinahitaji kuchunguzwa bila kujali kama marehemu alikuwa na ukwasi gani au analipa kodi kiasi gani.
 
Ananjuruuu balaaa sijajua kaachaje urithi maanaaa wanakuaaga na watoto njee wakutosha na hivi diniyetu ile mmh
 
nafikiri lile duka la vpodozi pia lakwake pals posta opp na sanamuya askari na pia mmiliki wa hotel moja pale Riverside magu alivyokuja akasema zehotel mnapeleka wafanyakazi kulala na mna nyumba dar kisa vkao mtawekea wanafunzi aisee. Mwz mwingi nikanbiwa rasmi n hostel
 
duka sio la kwake.
Ila we jamaa uandishi wako huwa ni wa hovyo sana.
 
Wewe ni mvivu na hufai kwa maendeleo ya taifa. Kijana ule pension ili nini?
 
Na alikua na burungutu kwenye gari,watu wamezichota zote,ama kweli kufa kufaana,na tajiri ulimwengu huu wa digital sijui kwa nini alitembea na ela
 
Tuwekee hizo picha za Fuso
 
Wewe ni mvivu na hufai kwa maendeleo ya taifa. Kijana ule pension ili nini?
Sasa unataka wachunguze nn kuna watu wanapesa inawafanyia kazi kila siku mko nao bar nakwenye vijiwe ila hamjawai kujiuliza pesa wanaitoa wapi. Kwenye haina Hyo ya uwekezaji ata mchawi hagusi. Mchawi hawezi kuiloga serikali au benki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…