Serikali chunguzeni kwa umakini kifo cha Solomon Mwalabhila

Sasa unataka wachunguze nn kuna watu wanapesa inawafanyia kazi kila siku mko nao bar nakwenye vijiwe ila hamjawai kujiuliza pesa wanaitoa wapi. Kwenye haina Hyo ya uwekezaji ata mchawi hagusi. Mchawi hawezi kuiloga serikali au benki.
Ni kweli kabsa! Hata gerezani
 
Nipo hapa najiuliza mtu atoke Dar na Lori la mchanga kumfukuzia mtu mwenye jeep kwenda Mbeya?

Kama 'motive' ni ushindani wa biashara za mabasi km ulivotanabaisha mbona naona huu sio wakati wa yeye kufanyiwa figisu maana amebakiwa na basi 2 tu ambazo hata hazipo road muda huu, ni wazi mabasi yalishamshinda, ninawaza tu hapa.
 
Sasa unataka wachunguze nn kuna watu wanapesa inawafanyia kazi kila siku mko nao bar nakwenye vijiwe ila hamjawai kujiuliza pesa wanaitoa wapi. Kwenye haina Hyo ya uwekezaji ata mchawi hagusi. Mchawi hawezi kuiloga serikali au benki.
Akili za kipumbavu hizi. Ingekuwa hiyo ndo njia sahihi basi kina Zuckerberg na Bill Gates wasieendelea kupambana. Kwanini usihamasishe vijana wakapambana kuwa na kampuni zao?
 
Ni ajali kama una taarifa tofauti na hizo peleka polisi huwa wanapokea taarifa za mtu yeyote hata chizi kwahiyo usiogope kuwapelekea taarifa sahihi
 
Kwanini aliendesha Jeep Wrangler? Angepanda Sauli haya yote yasingetokea
 
Akili za kipumbavu hizi. Ingekuwa hiyo ndo njia sahihi basi kina Zuckerberg na Bill Gates wasieendelea kupambana. Kwanini usihamasishe vijana wakapambana kuwa na kampuni zao?
Sasa uliowataja wamewekeza kwenye mabasi na kilimo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…