BIG X
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 777
- 212
Niongelee hasa upande wa CoET pale UDSM;
Hivi karibuni serikali imekuwa ikiajili sana vijana wanaomaliza chuo kama maTA. Wengine wameunganisha moja kwa moja kwenda kusoma masters n.k. Lakini hawa vijana pamoja na kufanya vizuri underGRAD ( GPA nzuri n.k) bado wanahitaji wapate mafunzo ya vitendo mapema iwezekanavyo ili waje kuwa walimu wazuri na watakapokuwa wanafundisha waelewe wanafundisha nini kulingana na experience watakazo kuwa wamepata wakiwa site. Lasivyo wanafunzi watakaofundishwa nao hawatapata mafunzo mazuri kutoka kwao, Sababu kuna maswali kutoka kwa wanafunzi ambayo ni rahisi mwalimu kuyajibu ukiwa unauzoefu na mazingira ya jinsi kazi zinavyofanyika.
Ushauri wangu ni kwamba: Serikali ina miradi mingi, basi ijaribu kuwachomeka hawa vijana huko wapate kujifunza zaidi, sababu nina uhakika hawa vijana watakuwa wepesi kujifunza haraka, ili waje kutoa elimu bora kwa wanafunzi. Angalau kuwe na utaratibu wa kuwashirikia kwenye miradi inayoendelea nchini.
Elimu ndio ufunguo wa maisha.
Hivi karibuni serikali imekuwa ikiajili sana vijana wanaomaliza chuo kama maTA. Wengine wameunganisha moja kwa moja kwenda kusoma masters n.k. Lakini hawa vijana pamoja na kufanya vizuri underGRAD ( GPA nzuri n.k) bado wanahitaji wapate mafunzo ya vitendo mapema iwezekanavyo ili waje kuwa walimu wazuri na watakapokuwa wanafundisha waelewe wanafundisha nini kulingana na experience watakazo kuwa wamepata wakiwa site. Lasivyo wanafunzi watakaofundishwa nao hawatapata mafunzo mazuri kutoka kwao, Sababu kuna maswali kutoka kwa wanafunzi ambayo ni rahisi mwalimu kuyajibu ukiwa unauzoefu na mazingira ya jinsi kazi zinavyofanyika.
Ushauri wangu ni kwamba: Serikali ina miradi mingi, basi ijaribu kuwachomeka hawa vijana huko wapate kujifunza zaidi, sababu nina uhakika hawa vijana watakuwa wepesi kujifunza haraka, ili waje kutoa elimu bora kwa wanafunzi. Angalau kuwe na utaratibu wa kuwashirikia kwenye miradi inayoendelea nchini.
Elimu ndio ufunguo wa maisha.