Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 2, leo Aprili 3, 2024 Jijini Dodoma.
Mrisho Gambo, Mbunge wa Arusha ameuliza "serikali ina mpango gani ili bei ya petroli na dizeli iwe moja Nchi nzima?"
Naibu Waziri Judith Kapinga amejibu "Serikali kupitia Ewura inafanya tathimini kufanya bei ya petroli na dizeli nchi nzima, mfumo huo uliokuwa unatumika miaka ya nyuma ulikwama kwa changamoto zikiwemo za kisera na kiusimamizi hivyo wafanya biashara wa mafuta walipanga bei zao kuendana na ushindani wa soko, tathimini ikiweza kukamilika Serikali itafanya utekelezaji bila kukutana nachangamoto za awali za kiusimamizi."
Geofrey Mwambe Mbunge wa Masasi Mjini ameuliza Je, Lini Serikali itakamilisha usanifu wa mradi wa maji mto rufiji litokalo Bwawa Nyerere kutumika mikoa ya Lindi na Mtwara?"
Jumaa Aweso, waziri wa Maji amejibu kuwa Serikali inaendelea na tathmini ya awali wa mradi wa maji mto rufiji litokalo Bwawa Nyerere kupeleka maji mikoa ya Lindi na Mtwara kuhakikisha maji kupatikana katika mikoa hio, inaendelea na mapitio ya usanifu wa mradi huo kuhakikisha maji kupatikana kwa maji pembezoni ambapo bomba kuu litakuwa limepita.
Mrisho Gambo, Mbunge wa Arusha ameuliza "serikali ina mpango gani ili bei ya petroli na dizeli iwe moja Nchi nzima?"
Naibu Waziri Judith Kapinga amejibu "Serikali kupitia Ewura inafanya tathimini kufanya bei ya petroli na dizeli nchi nzima, mfumo huo uliokuwa unatumika miaka ya nyuma ulikwama kwa changamoto zikiwemo za kisera na kiusimamizi hivyo wafanya biashara wa mafuta walipanga bei zao kuendana na ushindani wa soko, tathimini ikiweza kukamilika Serikali itafanya utekelezaji bila kukutana nachangamoto za awali za kiusimamizi."
Geofrey Mwambe Mbunge wa Masasi Mjini ameuliza Je, Lini Serikali itakamilisha usanifu wa mradi wa maji mto rufiji litokalo Bwawa Nyerere kutumika mikoa ya Lindi na Mtwara?"
Jumaa Aweso, waziri wa Maji amejibu kuwa Serikali inaendelea na tathmini ya awali wa mradi wa maji mto rufiji litokalo Bwawa Nyerere kupeleka maji mikoa ya Lindi na Mtwara kuhakikisha maji kupatikana katika mikoa hio, inaendelea na mapitio ya usanifu wa mradi huo kuhakikisha maji kupatikana kwa maji pembezoni ambapo bomba kuu litakuwa limepita.