Serikali haiioni mandela road au inafanya makusudi

Serikali haiioni mandela road au inafanya makusudi

mkadiriaji majenzi

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
260
Reaction score
569
Habari wana Jamvi.
Ivi hii serikali tuliyonayo ni kwamba haiioni mandela Road.
Saivi kutoka buguruni mpaka Riverside kuna malori matatu yameharibika na kusababisha foleni kubwa.
Wameshindwa kutafuta mbadala wa haya malori kutoka bandarini kweli miaka nenda rudi tunasikia budget yake ishatengwa kumbe ni fix tu.
 
Poleni sana, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Habari wana Jamvi.
Ivi hii serikali tuliyonayo ni kwamba haiioni mandela Road.
Saivi kutoka buguruni mpaka Riverside kuna malori matatu yameharibika na kusababisha foleni kubwa.
Wameshindwa kutafuta mbadala wa haya malori kutoka bandarini kweli miaka nenda rudi tunasikia budget yake ishatengwa kumbe ni fix tu.
Ukiweka picha inawaamsha watu usingizini
 
Ila hiyo barabara hata bila ya malori kuharibika huwa ina foleni sana siku zote. Daraja walijiwekea wao upende wa kwenda airport kutoka mjini ili wawahi safari zao za ndege. Wanajua huo upande wa mandela hawautumii kivile.
 
Sasa ukitaka kujua adha zaidi fanya safari to Morogoro then Mbeya ukiwa na utii bila shuruti... utaelewa ukubwa tatizo hilo...
 
Back
Top Bottom