Serikali haijaajiri wahitimu wote wa ualimu 2013\2014

Serikali haijaajiri wahitimu wote wa ualimu 2013\2014

Wazo la kabwela

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2013
Posts
1,812
Reaction score
1,373
jamani kuna mtu kaniambia kuwa eti mbali na walimu wa shahada serikal pia haijaajiri walimu wote wa cheti na diploma.kama ni kweli naomba kujua?..
 
Ni kweli mkuu siyo wote wameajiriwa na masomo yote wamefaulu. Wangekuwa hata na supp ingekuwa kigezo. Huyo anaebisha ni haki yake ana uhuru wa kuongea
 
Ni wengi hawajaajiriwa lakini walifauli.huyu anayebisha ana matatizo ya akili.
 
kwa upande wa degree wanachuo karibu 318 wa st. John Dodoma (BAED) hawajaariwa. Nakuthibitishia nkiwa ni mmoja wao.
 
kwa upande wa degree wanachuo karibu 318 wa st. John Dodoma (BAED) hawajaariwa. Nakuthibitishia nkiwa ni mmoja wao.

kuna habar nimezipata eti kuna awamu ya pili itatoka mwez may tar1 but cna uhakika
 
ni kweli kabisa tena walimu ambao hawajaajiriwa ni wengi wakiwemo waliotoka vyuoni directly ngazi zote na wale wa stashahada waliomaliza mwaka juzi na kufanya suplimentary mwaka jana wakafaulu lakini hawakuajiriwa. mfano wa uhakika nilionao ni chuo cha ualimu butimba watu 96 hawakuajiriwa, chuo cha ualimu bunda nilionana na watu tisa wakielekea dodoma kuomba ajira upya nao pia hawakuajiriwa, st john chuo kikuu cha dodoma ndo usiseme wapo kibao, kwa taarifa watu hao walitakiwa kwenda tamisemi kupeleka taarifa zao upya na wakaambiwa majina yao yatatoka kabla ya tarehe 1 ambayo ni leo na bado majina yao hayajatoka. kwa ujumla hili tatizo limekumba wengi na bado wanasubiri majibu yenye matumaini ya kuajiriwa tena.
 
Back
Top Bottom