Ni aibu kabisa Kwa nchi maskini Kama Tanzania kumruhusu wafanya biashara wa nje Kama Wachina kuja kufanya umachinga Tanzania. Sheria ya kulinda wafanya biashara wa ndani hapa iko wapi? Unakuta mfanya biashara wa ndani mdogo anaenda kununua Mzigo kiwandani china kuja kuuza Tanzania alafu wakati huo huo huyo mwenye kiwanda anakuja kuuza reja reja kwenye soko moja na huyo mchina. Huu sio ushindani ni kuuwa na kuwazika wafanya biashara wa Tanzania wakiwa hai, serikali funguka nyie ndo mnatoa hizo leseni.