Kagosaki
JF-Expert Member
- Feb 11, 2010
- 208
- 56
Ninasikitishwa sana kuona kwamba huku tunakoelekea siko kabisa.
Nyumba za Masaki, Oysterbay, Ada Estate na pale Kinondoni waliuziwa vigogo wa serikali. Tulikuwa na matumaini kwamba wange kaa huko. Ajabu ni kwamba nyumba hizi kwa sasa zimepangishwa / zinapangishwa kati ya USD. 3,500 na USD. 15,000 na zaidi kwa mwezi.
Kwa sasa ofisi binafsi na zile za kimataifa zimepanga katika nyumba hizi. Wakubwa hawa hawalipi kodi. Wamiliki wengi wa nyumba za Dar es Salaam pia hawalipi kodi. Mfano, kule Ilala kuna mtu ana nyumba 40, zinapangishwa kati ya laki 2 na laki nne! Kiwanja hakijapimwa, na serikali inapoteza kodi kibao!
Ndo maana kila wakati serikali inaomba pesa za maendeleo badala ya kutumia vyanzo tulivyonavyo! Tunataka serikali ikusanye kodi..
Nyumba za Masaki, Oysterbay, Ada Estate na pale Kinondoni waliuziwa vigogo wa serikali. Tulikuwa na matumaini kwamba wange kaa huko. Ajabu ni kwamba nyumba hizi kwa sasa zimepangishwa / zinapangishwa kati ya USD. 3,500 na USD. 15,000 na zaidi kwa mwezi.
Kwa sasa ofisi binafsi na zile za kimataifa zimepanga katika nyumba hizi. Wakubwa hawa hawalipi kodi. Wamiliki wengi wa nyumba za Dar es Salaam pia hawalipi kodi. Mfano, kule Ilala kuna mtu ana nyumba 40, zinapangishwa kati ya laki 2 na laki nne! Kiwanja hakijapimwa, na serikali inapoteza kodi kibao!
Ndo maana kila wakati serikali inaomba pesa za maendeleo badala ya kutumia vyanzo tulivyonavyo! Tunataka serikali ikusanye kodi..