Serikali haitakiwi kujinadi Kwa kujenga Barabara

Serikali haitakiwi kujinadi Kwa kujenga Barabara

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hi

Kuna vitu ambavyo vipo na vilnaganyika lakini pia vilikuwepo na vikafanyika isipokuwa kwasasa ni kuboresha

Maana yangu ni hii kuwa serikali inatakiwa kufumbua miradi mipya ambayo haipo na inatija Kwa taifa na wananchi.

Leo serikali inapokuja au mwanasiasa anapokuja kusema kuwa nimejenga barabara nimeleta umeme na maji hii ni miradi endelevu ambapo Kila kiongozi anafanya Kwa kiasi chake.

Tunategemea mwanasiasa au serikali ije iseme tumefumbua Mradi uhuu ambao unatija au unaenda maliza tatizo Fulani na sio kuunda miradi mingi ambayo haimalizi changamoto.
 
Serikali inaongozwa na wanasiasa. Ili waendelee kuwa madarakani lazima wajisifu walichofanya. Tuwe na reasoning.....huwezi mwambia jogoo aache kuwika!

Kama ni mwanasiasa pinzani ukiona hilo limefanikishwa ibua changamoto nyingine...
 
Kuna kitu ulikua unataka kuzungumza, barabara zinaweza kujengwa na private sector tukawa tunalipa road tolls
 
Serikali inaongozwa na wanasiasa. Ili waendelee kuwa madarakani lazima wajisifu walichofanya. Tuwe na reasoning.....huwezi mwambia jogoo aache kuwika!

Kama ni mwanasiasa pinzani ukiona hilo limefanikishwa ibua changamoto nyingine...
Ila tunachotaka ni invitation and creativity na sio Yale ambayo ni yalazima Kwa serikali
 
Serikali inaongozwa na wanasiasa. Ili waendelee kuwa madarakani lazima wajisifu walichofanya. Tuwe na reasoning.....huwezi mwambia jogoo aache kuwika!

Kama ni mwanasiasa pinzani ukiona hilo limefanikishwa ibua changamoto nyingine...
Uko smart... ahsante sana kwa comment yako
 
Hi

Kuna vitu ambavyo vipo na vilnaganyika lakini pia vilikuwepo na vikafanyika isipokuwa kwasasa ni kubores....
unachanganya mambo au uelewa na ufahamu juu ya masuala haya sio wa kutosha sana.......

iwe ni barabara, Reli, hospitali, shule, maabara au miradi mingine mbalimbali ya maji, umeme, kilimo, uvuvi au ufugaji, ni mwanainchi ndie anaejenga kupitia kodi, tozo na ushuru anaotozwa kwenye huduma au manunuzi mbalimbali anayoyafanya serikali ni msimamizi tu wa miradi hiyo,

Serikali inawajibika na sio hiyari, Lazima kutoa taarifa za mara kwa mara kwa wanainchi juu ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyokamilika na ambayo iko kwenye hatua mbalimbali na inayoendelea kukamilika ....

na kwenye hili pia, upende usipende lakini taarifa yaeutekelezaji wa miradi Lazima ziwekwe wazi kwa uma 🐒
 
Hakuna serikali ambayo haitajenga barabara, au miundombinu mingine. Hata tukichagua chama tofauti na CCM, serikali itakayoundwa itaendelea kujenga miundombinu. Ni ujinga kuamini kwamba CCM peke yao ndio wenye uwezo wa kujenga miundombinu.
 
Back
Top Bottom