Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwema Wakuu!
Hakuna serikali yoyote Duniani au popote Katika Anga za mbali, au hata kuzimu yenye uwezo wa kujali watu wasiojijali.
Watu wasiojijali dawa Yao ni mkong'oto. Kipondo, Hali ngumu, kuwaswaga na kuwakarangiza.
Mimi sioni tatizo katika Jambo hilo Kwa kweli.
Unaweza jitahidi kuwaonea huruma watu wasiojijali lakini ukawa Kama Mpumbavu tuu.
Inasikitisha sana, Acha vitu viwe vigumu ili vile laini vibadilike.
Nilikuwa nasemaje, Acha mambo yabaki Kama yalivyo.
Ndivyo Taikon anavyoimaliza Mwezi March na kuikaribisha April.
Hakuna serikali yoyote Duniani au popote Katika Anga za mbali, au hata kuzimu yenye uwezo wa kujali watu wasiojijali.
Watu wasiojijali dawa Yao ni mkong'oto. Kipondo, Hali ngumu, kuwaswaga na kuwakarangiza.
Mimi sioni tatizo katika Jambo hilo Kwa kweli.
Unaweza jitahidi kuwaonea huruma watu wasiojijali lakini ukawa Kama Mpumbavu tuu.
Inasikitisha sana, Acha vitu viwe vigumu ili vile laini vibadilike.
Nilikuwa nasemaje, Acha mambo yabaki Kama yalivyo.
Ndivyo Taikon anavyoimaliza Mwezi March na kuikaribisha April.