Wazo kuu.
Hili wazo mlifanyie kazi, Kwa maslahi mapana ya nchi zetu, ni kweli katiba ya nchi inatambua uhuru wa kuabudu,
Lakini serikali kupitia taasisi zake mnafaa kuangazia hilo kwani itasaidia kulinda utu wa mtanzania kutikana na viongozi wa dini wenye tamaa ambao huishia kuwatapeli wananchi na wengine kubaka na kulawiti waumini wasio na hatia.
Kwa kuanza kwanza wamiliki wa ministries, makanisa walau wawe na shahada ya theolojia, na wale wanaotumia majina ya ministries nyingine wawe na walau Cheti cha theolojia kutoka vyuo vinavyotambulika iwe ndani ya nchi au nje ya nchi, hii itasaidia kuwabaini wajanjawajanja wachache walioingia kwenye dini kuumiza wengine.
Chunguzeni pia taasis za kidini Kwa umakini na wanafanya nini kwani bila kufanya hayo taifa litazidi kupotea kimaadili huku mkiwa mnawaangalia.
Hapa hakuna kulaumu maana viongozi wote wawe wakristo, waislamu imetokea wimbi kubwa la utapeli, ubakaji na ulawiti na mmekua mkifumbia macho hayo mambo sio sawa.
Kwa kuongezea mnaweza kwenda kujifunza nchini Rwanda wao walifanya nini ili kurudisha nchi yao kwenye mstali sahihi.
Hili wazo mlifanyie kazi, Kwa maslahi mapana ya nchi zetu, ni kweli katiba ya nchi inatambua uhuru wa kuabudu,
Lakini serikali kupitia taasisi zake mnafaa kuangazia hilo kwani itasaidia kulinda utu wa mtanzania kutikana na viongozi wa dini wenye tamaa ambao huishia kuwatapeli wananchi na wengine kubaka na kulawiti waumini wasio na hatia.
Kwa kuanza kwanza wamiliki wa ministries, makanisa walau wawe na shahada ya theolojia, na wale wanaotumia majina ya ministries nyingine wawe na walau Cheti cha theolojia kutoka vyuo vinavyotambulika iwe ndani ya nchi au nje ya nchi, hii itasaidia kuwabaini wajanjawajanja wachache walioingia kwenye dini kuumiza wengine.
Chunguzeni pia taasis za kidini Kwa umakini na wanafanya nini kwani bila kufanya hayo taifa litazidi kupotea kimaadili huku mkiwa mnawaangalia.
Hapa hakuna kulaumu maana viongozi wote wawe wakristo, waislamu imetokea wimbi kubwa la utapeli, ubakaji na ulawiti na mmekua mkifumbia macho hayo mambo sio sawa.
Kwa kuongezea mnaweza kwenda kujifunza nchini Rwanda wao walifanya nini ili kurudisha nchi yao kwenye mstali sahihi.