Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Viongozi wenye dhamana katika hili,nawasalimu!
Jana jioni mida ya saa moja nilipita mitaa ya PUGU KINYAMWEZI, nilistushwa na moshi uliotanda kwenye mazingira Yale nyumba zote zimezingirwa na moshi mithili ya ukungu wa usubuhi kwenye safu za milima ya Uluguru.
Kiukweli, mimi tu mpita njia Tena ndani ya gari nilisikia harufu ya moshi ule haikuwa mzuri,unanuka!Hali Ni mbaya sana.Nikijaribu kuvaa viatu vya wananchi wale havikunitosha. Hivi tumeshawahi kufikiria madhara ya huo moshi kwenye mwili wa binadamu? Kuna watoto, wagonjwa, wazee wote wanavuta hewa Ile kweli? Kwa mawazo yangu tu nahisi Kuna kila aina ya taka hasa plastic kwenye moshi huo japo sijaziona taka kwa macho yangu.
Lengo la Uzi huo kuiomba Serikali kuhamisha hilo DAMPO jamani mbona Dar es Salaam Kuna mapori mengi tu bado, litafutwe eneo hilo dampo lihamishiwe huko
Hii tabia ya kupuuzia Mambo muhimu kàma haya tutaja tengeneza kizazi chenye maradhi yasiyotibika...Ni matumaini yangu serikali yetu sikivu italifanyia kazi..,Mheshimiwa Amosi Makalla pambania hili,na Baba Phillip Mpango pambania jirani zako.
Jana jioni mida ya saa moja nilipita mitaa ya PUGU KINYAMWEZI, nilistushwa na moshi uliotanda kwenye mazingira Yale nyumba zote zimezingirwa na moshi mithili ya ukungu wa usubuhi kwenye safu za milima ya Uluguru.
Kiukweli, mimi tu mpita njia Tena ndani ya gari nilisikia harufu ya moshi ule haikuwa mzuri,unanuka!Hali Ni mbaya sana.Nikijaribu kuvaa viatu vya wananchi wale havikunitosha. Hivi tumeshawahi kufikiria madhara ya huo moshi kwenye mwili wa binadamu? Kuna watoto, wagonjwa, wazee wote wanavuta hewa Ile kweli? Kwa mawazo yangu tu nahisi Kuna kila aina ya taka hasa plastic kwenye moshi huo japo sijaziona taka kwa macho yangu.
Lengo la Uzi huo kuiomba Serikali kuhamisha hilo DAMPO jamani mbona Dar es Salaam Kuna mapori mengi tu bado, litafutwe eneo hilo dampo lihamishiwe huko
Hii tabia ya kupuuzia Mambo muhimu kàma haya tutaja tengeneza kizazi chenye maradhi yasiyotibika...Ni matumaini yangu serikali yetu sikivu italifanyia kazi..,Mheshimiwa Amosi Makalla pambania hili,na Baba Phillip Mpango pambania jirani zako.