beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Serikali imesema Maabara ya Taifa imekuwa ikichunguza mabadiliko ya kirusi ili kuangalia uwepo wa anuai zinazotokana na mabadiliko ya COVID-19, ikiwemo Omicron na mpaka sasa haijabaini aina hiyo mpya ya Kirusi
Imesema haijajulikana kama abiria kutoka Tanzania aliyeripotiwa kubainika na Kirusi cha Omicron huko Delhi Nchini India Desemba 05, 2021 alitokea Tanzania moja kwa moja au alipita kuelekea India
Wananchi wameendelea kusisitizwa kuchukua tahadhari zote ikiwemo kunawa mikono kwa sabuni na Maji tiririka, kuvaa Barakoa, kuepuka misongamano isiyokuwa ya lazima na kufuata miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya
Imesema haijajulikana kama abiria kutoka Tanzania aliyeripotiwa kubainika na Kirusi cha Omicron huko Delhi Nchini India Desemba 05, 2021 alitokea Tanzania moja kwa moja au alipita kuelekea India
Wananchi wameendelea kusisitizwa kuchukua tahadhari zote ikiwemo kunawa mikono kwa sabuni na Maji tiririka, kuvaa Barakoa, kuepuka misongamano isiyokuwa ya lazima na kufuata miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya