mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Kweli tutamkumbuka mwendazake, inafika sehemu eti kuprint tu control number inakuwa issue!
Yaani watu tunapanga foleni na kusubiri na hatuipati bado hela tunatoa sisi za kwetu, unaenda kwenye website unaambiwa this website is Suspended kweli ofisi ya Umma inaendeshwa kwa kodi zetu
Tuoneeni huruma na maboss halafu wengine mna PhD kabisa lakini eeeh!
Yaani watu tunapanga foleni na kusubiri na hatuipati bado hela tunatoa sisi za kwetu, unaenda kwenye website unaambiwa this website is Suspended kweli ofisi ya Umma inaendeshwa kwa kodi zetu
Tuoneeni huruma na maboss halafu wengine mna PhD kabisa lakini eeeh!