Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Kwenye katiba ijayo hebu huku kwenye serikali za mitaa,vijiji na vitongoji katiba iwe inaruhusu wagombea binafsi
Kwasababu kuna watu wanakua wanakubalika na wanafaa kua viongozi ila kwakua nilazima mgombea atokee chama cha siasa unajikuta unaamua kujiunga na chama cha siasa ...
Na ukifika huko sasa doooh kama hujakitumikia chama kwamda fulani hupati nafasi ya kuamgombea ,kura zandani ya chama zinakuangusha nahasa ukiwa huna hela.Kama tunahitaji viongozi wenye weredi na mori kuna namna ya kurekebisha mifumo hii...
Sent from my infinix x650b using jamiiforums mobile app
Kwasababu kuna watu wanakua wanakubalika na wanafaa kua viongozi ila kwakua nilazima mgombea atokee chama cha siasa unajikuta unaamua kujiunga na chama cha siasa ...
Na ukifika huko sasa doooh kama hujakitumikia chama kwamda fulani hupati nafasi ya kuamgombea ,kura zandani ya chama zinakuangusha nahasa ukiwa huna hela.Kama tunahitaji viongozi wenye weredi na mori kuna namna ya kurekebisha mifumo hii...
Sent from my infinix x650b using jamiiforums mobile app