Serikali huenda ikazuia Shamrashamra za Pasaka, maadhimisho ya Muungano na sherehe za Mei Mosi mwaka huu 2020

Serikali huenda ikazuia Shamrashamra za Pasaka, maadhimisho ya Muungano na sherehe za Mei Mosi mwaka huu 2020

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Habari za ndani sana kutoka serikalini zinasema wakati wowote kuanzia sasa serikali huenda itatoa tamko la kupiga marufuku shamrashamra za sikukuu ya Pasaka, maadhimisho ya sikukuu ya muungano na sherehe za Mei mosi kufuatia shinikizo la ushauri wa wataalamu wa afya katika kukabiliana na kuenea kwa ugonjwa wa Corona nchini.
 
Huyo anayelala kwenye mawe sasa ndio ameelewa somo sio..?!
Mzee wa Msoga alisema hakuna rangi hatutaona baada ya yeye kuondoka kumbe alimaanisha.
 
BAVICHA watapinga hili

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Tuendelee tu kujivuta katika kuchukua hatua tutapata tunachokitaka.
 
Ni wazo zuri sana lakini Kuna wengine watapinga ili waonekane watetezi wa watu na uhuru wa kukutanika
 
Back
Top Bottom