Serikali hutumia bilioni 20 kila Mwaka kwa ajili ya kuagiza Mchuzi.

MANKA MUSA

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
924
Reaction score
1,096
Tanzania hutumia TZS bilioni 20 kwa mwaka kuagiza lita milioni 10 za mchuzi wa zabibu ili kutosheleza soko la ndani linalohitaji lita milioni 15.

Serikali imeweka mkakati wa kuongeza uzalishaji & kuongeza thamani ya zao hilo hapa nchini ili liwanufaishe wakulima.
#MamaYukoKazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…