Serikali huwa inakuwa wapi kutoa ufafanuzi mapema?

Serikali huwa inakuwa wapi kutoa ufafanuzi mapema?

Pekejeng

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
808
Reaction score
2,155
Kwa mtazamo wangu haya mambo yakuleta ufafanuzi baada ya kuibuka mijadala ambayo serikali inaona ni upotoshaji, Huwa inaleta sana ukakasi na sitomfahamu nyingi kwa wananchi

kwanini wasiwe na utaratibu wakutupa taarifa yakila mikataba/mikopo mapema na kwa uwazi zaidi.

Isiwe inakaa kimya mpaka waibuke watu au taasisi ambazo ndiyo wanaokuwa wa kwanza kuongelea hiyo mikataba, Inafikia hatua taarifa zinasambaa Kila mahali, Mwisho kabisa serikali ndo inaibuka kutolea ufafanuzi

Hiyo haijakaa vizuri zama tulizopo habari mbaya Huwa zinasambaa haraka kuliko nzuri inabidi Serikali idara ya habari iwe inajipanga kwenye hilo.

Pia soma

- VoA watolea ufafanuzi taarifa ya Masharti ya Mkopo wa Korea Kusini kwa Tanzania
 
Back
Top Bottom