ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Sasa ni wakati wa kuachana na kusambaza umeme vijijini Ili fedha hizo zitumike kujenga vyanzo vya umeme kwani huwezi sambaza kitu ambacho huna.
Hii italeta tija, sio kepeleka feza za kuwasha taa na mgao huu
Hii italeta tija, sio kepeleka feza za kuwasha taa na mgao huu