A HUMBLE LEADER
Senior Member
- Sep 21, 2022
- 138
- 343
Serikali ya CCM
Acheni kutudhalilisha makada waaminifu kama sisi KWA hoja za hovyo zisizo na afya KWA Taifa!
Hivi mnafikiri vishkwambi KWA walimu;-
1.Vitaongeza maslahi yao ya kazi!?
2.vitawapa unafuu wa mfumuko wa bei ya chakula na mahitaji mengine!?
3.vitawapandisha madaraja wale waliofundisha KWA muda MREFU bila kupanda au kupanda mara MOJA tu ndani ya miaka 9 kama waajiriwa wa mwaka 2014!!?
4.vitaongeza mzunguko wa fedha KWA walimu na kufurahia Maisha yao!!?
Acheni majibu mepesi KWA maswali magumu!
Acheni kukidhalilisha chama kwamba kimekosa think tank Hadi kuja na hoja mfu kama hizi!!!
Kama mmeshindwa cha kufanya uzeni vishkwambi muwape fedha wakale kuliko kufanya siasa mfu kama hizi!
Walimu siyo Watoto msiwatie hasira kali wakahujumu ufundishaji wao!
Rudini chimwaga mjipange tena hicho mlichokuja nacho sio TIJA KWA walimu bali udhalilishaji wa watumishi wa umma!!
Acheni kutudhalilisha makada waaminifu kama sisi KWA hoja za hovyo zisizo na afya KWA Taifa!
Hivi mnafikiri vishkwambi KWA walimu;-
1.Vitaongeza maslahi yao ya kazi!?
2.vitawapa unafuu wa mfumuko wa bei ya chakula na mahitaji mengine!?
3.vitawapandisha madaraja wale waliofundisha KWA muda MREFU bila kupanda au kupanda mara MOJA tu ndani ya miaka 9 kama waajiriwa wa mwaka 2014!!?
4.vitaongeza mzunguko wa fedha KWA walimu na kufurahia Maisha yao!!?
Acheni majibu mepesi KWA maswali magumu!
Acheni kukidhalilisha chama kwamba kimekosa think tank Hadi kuja na hoja mfu kama hizi!!!
Kama mmeshindwa cha kufanya uzeni vishkwambi muwape fedha wakale kuliko kufanya siasa mfu kama hizi!
Walimu siyo Watoto msiwatie hasira kali wakahujumu ufundishaji wao!
Rudini chimwaga mjipange tena hicho mlichokuja nacho sio TIJA KWA walimu bali udhalilishaji wa watumishi wa umma!!