Kwa heshima na taadhima naomba kuhufahamisha umma changamoto mbalimbali tunazopitia mashuleni nahisi kama serikali haijui au na kama inajua na imeamua kukaa kimya hali mashuleni mbaya sasa hivi vipindi vinamalizika mashuleni saa 11 mpaka 12.
Kwa hiyo mwalimu au waalimu tuna toil kinyama bora hata waalimu wa arts angalau wenyewe wako wengi ukilinganisha na idadi ya waalimu wa sayansi, mimi nafundisha Mathematics na Physics kuanzia form one mpaka four niko wima kuanzia asubuhi mpaka jioni
Plz naomba serikali iongeze waalimu wa sayansi ili itupunguzie adha sisi waalimu wa sayansi.
Mhe. Rais alisema kuna ajira zaidi ya 10000 kwa waalimu nilifarijika na kajipa moyo kwamba kwa ongezeko hilo teaching load inaweza kupungua lakini mpaka sasa hivi kimya plz mheshimiwa rais naomba utupunguzie adha, mimi ni mzalendo na naipenda kazi yangu.
Kwa hiyo mwalimu au waalimu tuna toil kinyama bora hata waalimu wa arts angalau wenyewe wako wengi ukilinganisha na idadi ya waalimu wa sayansi, mimi nafundisha Mathematics na Physics kuanzia form one mpaka four niko wima kuanzia asubuhi mpaka jioni
Plz naomba serikali iongeze waalimu wa sayansi ili itupunguzie adha sisi waalimu wa sayansi.
Mhe. Rais alisema kuna ajira zaidi ya 10000 kwa waalimu nilifarijika na kajipa moyo kwamba kwa ongezeko hilo teaching load inaweza kupungua lakini mpaka sasa hivi kimya plz mheshimiwa rais naomba utupunguzie adha, mimi ni mzalendo na naipenda kazi yangu.